Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtazamo Wangu kwa Swala la Nairobi na Dar

Kwa sababu nimekaa Nairobi kwa muda wa mwaka mmoja na pia Dar, kuna kitu nimegundua. Ni ngumu kufananisha aya majiji mawili.

Dar kwa mtazamo wangu ina urban planning nzuri kuliko Nairobi. Kwa mfano Ubungo mahali ilipo na CBD inaipa dar nafasi yakujitanua na pia ni kiashiria Dar ina nafasi kubwa (approx 10km from Ubungo to CBD)

Nairobi kutoka Machakos Country Bus( Nairobi's main bus terminal) kwenda CBD ni approx 4km. Kwa hili tu linaonesha Nairobi ni ndogo.

Advantage ya Nairobi kwa Dar ni popularity yake na sifa yake ya kuwa mji mkubwa zamani( Nairobi ni headquarter ya mashirika makubwa duniani na Afrika)

Kwa sasa naomba nirudie, kwa mtazamo wangu picha hazitaweza ku-compare haya majiji mawili ila kwa kifupi. Kuna uniqueness ya Nairobi na pia kuna Uniqueness ya Dar.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
maisha magumu.
IMG_20190109_221801.jpeg
 
Ndio nikasema nenda ukapewe maarifa maana huna uwezo kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu wewe engineer uchwara usijilinganishe na mimi niliepikwa kuwa engineer tangu form1. Kama kazi hujapata kuwa direct kuna project nyingi uje ubebe zege maana nkikuweka sehemu muhimu utanipa hasara. halafu wala wewe sio engineer, mpaka sasa kwa post zako nimekuelewa na trust me kichwani wewe ni boya sana
 
Halafu wewe engineer uchwara usijilinganishe na mimi niliepikwa kuwa engineer tangu form1. Kama kazi hujapata kuwa direct kuna project nyingi uje ubebe zege maana nkikuweka sehemu muhimu utanipa hasara. halafu wala wewe sio engineer, mpaka sasa kwa post zako nimekuelewa na trust me kichwani wewe ni boya sana
kabla uniajiri ajiri kaka zako walalahoi kama wewe mtoane Kwa umasikini wa kutupwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha! Naona umekereka Sana na Hilo neno tangible investment? Kojoa kalale maana hata ukifa leo huna will itakayosomwa ,kazi yako ni kukausha pweza pale kivukoni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeshakufahamu mwehu wewe kabisa, kumbe umebadilisha id, unawaletea unafki wenzio. wewe ni mojawapo ya watu nliokua nawaepuka kutokana na kupost vitu visivyo na facts
 
Habari umeipata, usije kuregarega hapa fanya bidii utoke kwenye umasikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mi nikuambie tu, hii thread kwa sasa kuna utulivu mkubwa sana na kama mtu mzima mwenye uelewa kama unakuja hapa kucompare hiyo nchi yenu na Tanzania tafadhali acha kabisa maana kulikuwa na squad hapa ya wakenya ila leo wako mitini, sasa wewe mmoja usidhani kuwa we can't take you down in an instant.
 
Back
Top Bottom