ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sikia jamaa alichojibuππππππ
ππππππππππ
wana hasira kishenzi.... yaani ukikomenti kwenye thread zao, wote wanaacha kujadili issues, wanaanza kuku qoute na kuanza kuku attack....Jamaa wanachungulia na kukimbia.









mbona kachapia lakini? It's Selous GR na si Serous GR!
Sikia jamaa alichojibuππππππ
ππππππππππ
Suala la barabara mbovu nililigusia haswa baada ya Jeff Koinange kupiga picha ya trip yake akiendesha SUV lake beast Barabara ya Nairobi-Malindi!Like a path in the village...!!π π π π€£π€£π€£ Mbavu zangu sina.π π π Wana haki yakukimbia..!!
Hapo ni unyamani.....New York area....breathtaking... View attachment 984980
Hiyo ndiyo MLDC bhanahaya majamaa bado yapo nyuma sana kwenye masuala ya tehama.
pado traffic wao wanatoza fine kizamani, kwa kuandika manually kwenye karatasi.
View attachment 985047






Arusha tuufanye uwe mji wa kimataifa sababu ni kitovu cha utalii na pia kuna international agencies kama UN, AU Court na EAC na agencies zake. Arusha wajenge stendi ya mabasi na daladala za kisasa na sio huu ujinga uliopo sasa hasa pale Kilombero.Next cities are Moshi and Moro
Kuna mradi flan wa kujenga highway kutoka Arusha hadi Holili kenya 4ways ,wameshanza awamu ya kwanza kutoka tengeru hadi sakina 14km ,Moshi kuna vitu vichache tu wakiweka na kuongeza eneo tayari inakua city
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaitwa uwanja wa mao ze dong ..kuwa na viwanja kama hiv ni muhimu sana kwa sababu ku host michuano mikubwa lazima viwanja vya mazoezi viwepoUwanja mpya wa kisasa wa michezo umezinduliwa leo pale Zanzibar.
Tunazidi kusonga mbele kwenye sports facilities.View attachment 985157View attachment 985158
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly hapo Zanzibar kuna Amani Stadium upo vizuri jumlisha uwanja wa taifa na uhuru Dar, Kirumba mwanza na huo mpya wa dodoma utakaojengwe plus renovations za viwanja vngine. Tunaweza anza kuota kuhost AFCON.Unaitwa uwanja wa mao ze dong ..kuwa na viwanja kama hiv ni muhimu sana kwa sababu ku host michuano mikubwa lazima viwanja vya mazoezi viwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Afcon inahitaji viwanja vinne tuExactly hapo Zanzibar kuna Amani Stadium upo vizuri jumlisha uwanja wa taifa na uhuru Dar, Kirumba mwanza na huo mpya wa dodoma utakaojengwe plus renovations za viwanja vngine. Tunaweza anza kuota kuhost AFCON.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana ...wasanii wakibongo kitambo walishashtuka....pesa wanayo make wanamziki wa kenya, inatosha tu kulipia rent kwenye apartment za wakikuyu jijini nairobi. ila sio kufanya investment.
View attachment 985118