Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haki sijapata kuona watu wajinga kama wakenya, imebaki tu kulalamika pembeni ikitazama mwenzao akipata kichapo toka kwa wachina. ndio maana mchina aliwaita monkeys.

ujinga kama huo ulikuwa unatokea sana mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati wachina wanajenga uwanja wa taifa.

kilichokuja kuwapata wachina toka kwa vijana vibarua waliokuwa wanajenga uwanja ule kiliacha legacy. kuna chalii mmoja alitumia chepeo kumtandika nalo mchina kichwani, akivuja damu nyingi sana, akafa hapohapo.

halafu walivyo wajinga, utashangaa wanahamishia vita yao twitter kwa kurusha maneno ya kuwa mock wachina wakati physical battle wameshindwa. jinga sana wakenya.
View attachment 985501
wakenya ni wapumbavu ndiyo maana siku zote huwa nasema stupid kenyan hao ingekuwa bongo wangeshachakaa kitambo......ndani ya dk 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea ukweli.. halafu Moro ni kubwa sana, kama mdau alivyo sema hapo juu Moro kuwa kati ya Dar na Dom kuta zidi kuiongozea mashavu. SGR ikikamilika mazao kutoka Moro yatafika kwa uharaka na low cost kwenye majiji ya Dar, Dom na Mwanza. Viwanda vingi vitajengwa Moro kwakua malighafi zipo na bidhaa zitaweza kufika sokoni haraka na kwa urahisi pia bandarini kwa ajili ya export na uingizaji wa machinery. Kwa mahesabu ya haraka SGR ikiisha itachukua miaka 5 Moro kupanda hadhi na kuwa jiji (siyo Jiji la baiskeli kama Kisumu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kikikikik dah eti sio Jiji la baiskeli kama Kisumu hahahah
 
Umeongea ukweli.. halafu Moro ni kubwa sana, kama mdau alivyo sema hapo juu Moro kuwa kati ya Dar na Dom kuta zidi kuiongozea mashavu. SGR ikikamilika mazao kutoka Moro yatafika kwa uharaka na low cost kwenye majiji ya Dar, Dom na Mwanza. Viwanda vingi vitajengwa Moro kwakua malighafi zipo na bidhaa zitaweza kufika sokoni haraka na kwa urahisi pia bandarini kwa ajili ya export na uingizaji wa machinery. Kwa mahesabu ya haraka SGR ikiisha itachukua miaka 5 Moro kupanda hadhi na kuwa jiji (siyo Jiji la baiskeli kama Kisumu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu ulivyoongea hapa ni madini tupu kama wakubwa wanatusikia wauangalie kwa macho matatu mkoa huu waweke mazingira mazuri ili market force inapokuja ikute mazingira yalishatayarishwa utayarishaji wa masterplan ya Moro sijui uko vp ikiwezekana waanzishe mji mwingine nje kdg hata tu kama ni hatua za awali tu kama ilivyo kwa Dom watenge maeneo yote muhimu,kwa advantage tu ya population ya Dar hii SGR ikiisha itakuwa approximately 90 mins uko Moro kuna baadhi wanaweza kuishi Moro mzigo Dar au Pwani kama ilivyo sasa kwa uchache wengine tunaweza kuwa tunakwenda kwa ajili ya vacaee kule milima ya uluguru kufuata good weather,adventure za hapa na pale pia pamoja na zoezi letu lile la baby making!!!Maana kuna wakati Dar joto ni kali sana!!!
 
Sure mkuu ulivyoongea hapa ni madini tupu kama wakubwa wanatusikia wauangalie kwa macho matatu mkoa huu waweke mazingira mazuri ili market force inapokuja ikute mazingira yalishatayarishwa utayarishaji wa masterplan ya Moro sijui uko vp ikiwezekana waanzishe mji mwingine nje kdg hata tu kama ni hatua za awali tu kama ilivyo kwa Dom watenge maeneo yote muhimu,kwa advantage tu ya population ya Dar hii SGR ikiisha itakuwa approximately 90 mins uko Moro kuna baadhi wanaweza kuishi Moro mzigo Dar au Pwani kama ilivyo sasa kwa uchache wengine tunaweza kuwa tunakwenda kwa ajili ya vacaee kule milima ya uluguru kufuata good weather,adventure za hapa na pale pia pamoja na zoezi letu lile la baby making!!!Maana kuna wakati Dar joto ni kali sana!!!
Hahahaaa... fukuto la Dar huwa linazingua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure mkuu ulivyoongea hapa ni madini tupu kama wakubwa wanatusikia wauangalie kwa macho matatu mkoa huu waweke mazingira mazuri ili market force inapokuja ikute mazingira yalishatayarishwa utayarishaji wa masterplan ya Moro sijui uko vp ikiwezekana waanzishe mji mwingine nje kdg hata tu kama ni hatua za awali tu kama ilivyo kwa Dom watenge maeneo yote muhimu,kwa advantage tu ya population ya Dar hii SGR ikiisha itakuwa approximately 90 mins uko Moro kuna baadhi wanaweza kuishi Moro mzigo Dar au Pwani kama ilivyo sasa kwa uchache wengine tunaweza kuwa tunakwenda kwa ajili ya vacaee kule milima ya uluguru kufuata good weather,adventure za hapa na pale pia pamoja na zoezi letu lile la baby making!!!Maana kuna wakati Dar joto ni kali sana!!!
Wengi tunaweza kuopt kukaa Moro pia maana Dar dakika sifuri Dodoma dakika sifuri!!!wewe tu!!!!
 
Znz👇👇👇👇
0091CF7B-E589-40F4-BA21-36AF5B59DD57.jpeg
 
Sure mkuu ulivyoongea hapa ni madini tupu kama wakubwa wanatusikia wauangalie kwa macho matatu mkoa huu waweke mazingira mazuri ili market force inapokuja ikute mazingira yalishatayarishwa utayarishaji wa masterplan ya Moro sijui uko vp ikiwezekana waanzishe mji mwingine nje kdg hata tu kama ni hatua za awali tu kama ilivyo kwa Dom watenge maeneo yote muhimu,kwa advantage tu ya population ya Dar hii SGR ikiisha itakuwa approximately 90 mins uko Moro kuna baadhi wanaweza kuishi Moro mzigo Dar au Pwani kama ilivyo sasa kwa uchache wengine tunaweza kuwa tunakwenda kwa ajili ya vacaee kule milima ya uluguru kufuata good weather,adventure za hapa na pale pia pamoja na zoezi letu lile la baby making!!!Maana kuna wakati Dar joto ni kali sana!!!
Exactly, Morogoro na Pwani zina fursa kubwa sana hapa
 
Back
Top Bottom