Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Next cities are Moshi and Moro
Kuna mradi flan wa kujenga highway kutoka Arusha hadi Holili kenya 4ways ,wameshanza awamu ya kwanza kutoka tengeru hadi sakina 14km ,Moshi kuna vitu vichache tu wakiweka na kuongeza eneo tayari inakua city
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure, hivi mwenye kujua kuhusu uchimbaji wa madini yaliyopo milima ya pare na sambara atusaidie link maana nasikiaga tu wenyeji wakipelekwa mahakamani kwa uchimbaji haramu na pia wanakijiji wa upareni wakilalamikia changes za mto wao moja kutokana na shughuli za machimbo. Pia wakenya saba walikamatwaga wakisneak madini ya rubi kupitia mbuga ya mkomanzi, update please

