Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

7E6B7DD2-5154-4596-AA06-ECF21E5CD0BF.jpeg
CA79ABDD-A724-44B7-8E71-D1C414071BC8.jpeg
60398A9D-FC29-4FC1-9338-CA5DB1829B50.jpeg
94F5D20A-1770-4C18-B768-094174E639AA.jpeg
6793FCB3-63A5-40DA-8FDC-2D8C98633646.jpeg
 
Kenya yaagiza mabasi 64 ya mwendokasi baada ya mabasi yanayozalishwa nchini humo KUTOFIKIA VIWANGO! Baadae wataagiza mabasi mengine kutoka China.
 


Pia jamaa ametembea nchi nyingi maarufu sana na anwatambua vizuri. So yuko vizuri kwelikweli, ingawa kuna wanaong'ang'ana na mapungufu yake lakini natamani watu wakumbuke hakuna binaadamu aliekamilika isipokua inatupasa tukubali kujitoa kwake ambako wengine walishindwa. Na pia ukichambua mapungufu ya waliopita kwa umakini utagundua jamaa ndio yupo kamili
 
Pia jamaa ametembea nchi nyingi maarufu sana na anwatambua vizuri. So yuko vizuri kwelikweli, ingawa kuna wanaong'ang'ana na mapungufu yake lakini natamani watu wakumbuke hakuna binaadamu aliekamilika isipokua inatupasa tukubali kujitoa kwake ambako wengine walishindwa. Na pia ukichambua mapungufu ya waliopita kwa umakini utagundua jamaa ndio yupo kamili
Tutajua umuhimu wake pale atakapo Ng'atuka
huyu mtu anania njema sana na Taifa letu
yupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom