game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
haya majamaa bado yapo nyuma sana kwenye masuala ya tehama.
pado traffic wao wanatoza fine kizamani, kwa kuandika manually kwenye karatasi.
View attachment 985047
Mimi huwa nashangaa zile plate Namba zao, kama zimechorwa na Mkaa, hahahah

