Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Msijesema sikusema baada ya miaka kumi battle hii itabadilika itakuwa DODOMA vs NAIROBI maana kuna malalamiko Nairobi haiko COAST,huyu mzee mpk anatoka madarakani......mie sina la kusema cheki DODOMA inavyosukwa No Joke mazee!!! Na huyu Mheshimiwa ni mtu wa matokeo hiyo ni kawaida yake tunajua.Bravooooo!!!!!
 

Msijesema sikusema baada ya miaka kumi battle hii itabadilika itakuwa DODOMA vs NAIROBI maana kuna malalamiko Nairobi haiko COAST,huyu mzee mpk anatoka madarakani......mie sina la kusema cheki DODOMA inavyosukwa No Joke mazee!!! Na huyu Mheshimiwa ni mtu wa matokeo hiyo ni kawaida yake tunajua.Bravooooo!!!!!
Iyo miradi yote ikiisha na wakasimamia vizur mipango miji kwa wakazi wapya basi DODOMA patakua pazuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo miradi yote ikiisha na wakasimamia vizur mipango miji kwa wakazi wapya basi DODOMA patakua pazuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kaka si utani patakuwa pazuri sana kwa maelezo hayo swala la mipango miji naamini litasimamiwa vizuri,naamini Waziri Lukuvi waziri Jaffo wote watakuwa wameelekeza nguvu zao huko wasimwangushe mzee baba maana Mh amelivalia njuga kweli kweli liwe jiji la mfano people are proactive nowadays ninachopenda awamu hii kila kwny miradi mikubwa swala la mipango miji linakuwepo ndani ya package kuanzia Tanga-Hoima hadi huu wa bwawa la umeme plan yao pasiwe tu ni maeneo ya miradi ila pawe pia sehemu za vivutio vya utalii.Hata huu wa SGR kuna study ilikuwa inaendelea kuangalia kila potentials ziliopo inapopita reli na kuyapima kuanzia maeneo ya kilimo,viwanda,utalii na n. k,mpango ulikuwa ni kustudy fursa zote zinazoweza kupatikana inapopita reli kuweka matayarisho ya awali ukiwemo kupima kama sio kuyaendeleza kbs.Hii itasaidia SGR yetu kutumika kikamilifu hivyo kutupatia faida kubwa zaidi na zaidi.
 

Msijesema sikusema baada ya miaka kumi battle hii itabadilika itakuwa DODOMA vs NAIROBI maana kuna malalamiko Nairobi haiko COAST,huyu mzee mpk anatoka madarakani......mie sina la kusema cheki DODOMA inavyosukwa No Joke mazee!!! Na huyu Mheshimiwa ni mtu wa matokeo hiyo ni kawaida yake tunajua.Bravooooo!!!!!
Kidomodomo cha wakenya kime wa ponza, sasa hivi kila mradi unaoanza lazima uwe mkubwa kuliko wowote E.A. uzuri value of money inaonekana na Magu akitua Dom hiyo miradi itakimbia kama umeme. Kuna ule wa uwanja wa michezo wa capacity ya 90,000! Nairobi itabidi irudi shule ikasome na Kasarani yake

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Kama Taifa inabidi kuufuatilia kwa karibu sana mkoa wa MOROGORO kwa maana ya advantage yake ya Geographical position uliopo kwanza ndio mkoa uliopakana na mikoa mingi zaidi Tanzania kama sikosei kusini kazini mashariki na magharibi pia ndio mkoa unaouganisha Mji mkuu na mji wa kibiashara kupitia pwani ambapo panakuwa kwa kasi sana,kuna hali ya hewa nzuri, Vyuo vikuu kadhaa kilimo kinakubali vbaya mno ndo ghala la chakula la Taifa mbuga ya mikumi milima ya uluguru na n. k .... Mkoa huu unahitaji visionary leaders wanaotambua kwa ufasaha kabisa position waliopo wawe na mipango ya kimaendeleo inayoangalia miaka zaidi 50 au zaidi ijayo Morogoro inabidi iwe na mipango kama ya Dodoma kwa sasa maana ndo kiungo.Mnasemaje wadau?!
 
Kidomodomo cha wakenya kime wa ponza, sasa hivi kila mradi unaoanza lazima uwe mkubwa kuliko wowote E.A. uzuri value of money inaonekana na Magu akitua Dom hiyo miradi itakimbia kama umeme. Kuna ule wa uwanja wa michezo wa capacity ya 90,000! Nairobi itabidi irudi shule ikasome na Kasarani yake

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ule ni noma mkubwa ndani ya kijiji cha michezo wametenga eneo kubwa sana pia aisee!!
 
Kama Taifa inabidi kuufuatilia kwa karibu sana mkoa wa MOROGORO kwa maana ya advantage yake ya Geographical position uliopo kwanza ndio mkoa uliopakana na mikoa mingi zaidi Tanzania kama sikosei kusini kazini mashariki na magharibi pia ndio mkoa unaouganisha Mji mkuu na mji wa kibiashara kupitia pwani ambapo panakuwa kwa kasi sana,kuna hali ya hewa nzuri, Vyuo vikuu kadhaa kilimo kinakubali vbaya mno ndo ghala la chakula la Taifa mbuga ya mikumi milima ya uluguru na n. k .... Mkoa huu unahitaji visionary leaders wanaotambua kwa ufasaha kabisa position waliopo wawe na mipango ya kimaendeleo inayoangalia miaka zaidi 50 au zaidi ijayo Morogoro inabidi iwe na mipango kama ya Dodoma kwa sasa maana ndo kiungo.Mnasemaje wadau?!
Yaani swala la morogoro halina hofu kutokana na dar-dom routes zote za sgr na barabara inaifanya kuwa na advantage ya kuendelea hata bila kuwekeza nguvu nyini miaka 10 tutakua tunaipambanisha na Nairobi
 
Kweli in 10 years itakuwa ni Dodoma Vs Nairobi
Itakua ni Dodoma vs Pretoria, tokyo, n.k ligi ya Nairobi itakua Morogoro coz kwanza zote ni mbuga za wanyama na mpaka sasa nairobi hawana stand ya kupambanisha na Msamvu Moro. Kwanza hata sasaivi nairobi wanavyopanga kuwa na michoro ya BRT ndio kidogo inaweza kupambanishwa na Dar ingawa bado sana coz walichokua wanaringia ni flyover swala ambalo sio shida Dar now
 
hapo ukute wakikuyu wachache wameandaa mpango wa kupiga pesa ya public kwa maandalizi ya uchaguzi wao ujao.
Aisee hapana Kenya bado hawana ujuzi wa ku-assemble futuristic bus models. Imebidi waagize la sivyo wangepewa those ugly buses with Isuzu engine.
 
Kama Taifa inabidi kuufuatilia kwa karibu sana mkoa wa MOROGORO kwa maana ya advantage yake ya Geographical position uliopo kwanza ndio mkoa uliopakana na mikoa mingi zaidi Tanzania kama sikosei kusini kazini mashariki na magharibi pia ndio mkoa unaouganisha Mji mkuu na mji wa kibiashara kupitia pwani ambapo panakuwa kwa kasi sana,kuna hali ya hewa nzuri, Vyuo vikuu kadhaa kilimo kinakubali vbaya mno ndo ghala la chakula la Taifa mbuga ya mikumi milima ya uluguru na n. k .... Mkoa huu unahitaji visionary leaders wanaotambua kwa ufasaha kabisa position waliopo wawe na mipango ya kimaendeleo inayoangalia miaka zaidi 50 au zaidi ijayo Morogoro inabidi iwe na mipango kama ya Dodoma kwa sasa maana ndo kiungo.Mnasemaje wadau?!
Umeongea ukweli.. halafu Moro ni kubwa sana, kama mdau alivyo sema hapo juu Moro kuwa kati ya Dar na Dom kuta zidi kuiongozea mashavu. SGR ikikamilika mazao kutoka Moro yatafika kwa uharaka na low cost kwenye majiji ya Dar, Dom na Mwanza. Viwanda vingi vitajengwa Moro kwakua malighafi zipo na bidhaa zitaweza kufika sokoni haraka na kwa urahisi pia bandarini kwa ajili ya export na uingizaji wa machinery. Kwa mahesabu ya haraka SGR ikiisha itachukua miaka 5 Moro kupanda hadhi na kuwa jiji (siyo Jiji la baiskeli kama Kisumu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua ni Dodoma vs Pretoria, tokyo, n.k ligi ya Nairobi itakua Morogoro coz kwanza zote ni mbuga za wanyama na mpaka sasa nairobi hawana stand ya kupambanisha na Msamvu Moro. Kwanza hata sasaivi nairobi wanavyopanga kuwa na michoro ya BRT ndio kidogo inaweza kupambanishwa na Dar ingawa bado sana coz walichokua wanaringia ni flyover swala ambalo sio shida Dar now
Hahahah na Hili likiiva New Barrick eyes several options to end TZ tax dispute Maana hawa wazungu tumewakizia kweli kweli sio lazima wakatupa zote watupe hata kidunju tu.Naona kama Kabali imewakubali hiv kimtindo. Kikikikik
 

Msijesema sikusema baada ya miaka kumi battle hii itabadilika itakuwa DODOMA vs NAIROBI maana kuna malalamiko Nairobi haiko COAST,huyu mzee mpk anatoka madarakani......mie sina la kusema cheki DODOMA inavyosukwa No Joke mazee!!! Na huyu Mheshimiwa ni mtu wa matokeo hiyo ni kawaida yake tunajua.Bravooooo!!!!!
Yaani hilo unalosema ni ukweli kabisa..........yajayo ni kuwatoa mungiki machozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani swala la morogoro halina hofu kutokana na dar-dom routes zote za sgr na barabara inaifanya kuwa na advantage ya kuendelea hata bila kuwekeza nguvu nyini miaka 10 tutakua tunaipambanisha na Nairobi
Kweli kaka ila kwny uchumi kuna kitu kinaitwa Government Failure Theory vs Market Failure Theory....kuna vtu serikali ina ulazima kabisa wa ku-intervine ili mambo yaende sawa ndivyo ninavyoviongelea mimi sasa!!!!Baadhi ya maeneo Dar kutokuwa sawa yamesababishwa na kupuuzia theory kama hizi ambazo zinashikamana kbs na maisha yetu ya kila siku.
 
Back
Top Bottom