Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nachokueleza hapa tanzania ni nchi kubwa so usifkiri trunk roads kueka lami zote ni kitu cha mchezo so tunaejenga Barbara kwa kasi zaidi na kwa sasa hvi maeneo mengi yanapitika kwa urahisi sana
Aii iyo excuse yako siezi buy....trunk roads za Kenya yenyewe imezidi yenu..si ukubwa wa nchi tunaongelea ni Barbara tunaongelea
 
wew mzee wa iphone7 usibishe usichokijua mikoa mitatu tu kwa tz ndyo haipo connected hyo link unajisumbua tuna barabara nyingi sana na zenye umbali mrefu kuliko kenya hyo link imekudanganya na watakuwa wame copy na ku pest data za zamani sana.....
Let's Data zako basi...sitaki kelele za vuvuzela hapa..nataka vi2 za maana
 
Naelewa TZ ni kubwa but total paved roads ndio hizo. paved roads Africa si km nyingi, they are mostly the major roads. But hio ni data from your government's website, so we go by it for now. Lakini niko sure you guys are paving more roads
Hio data uliosoma wewe ni ya muda sana imepita Lemmy find for u data za 2016 at least upate picha kua mpole
 
bize wap bando ulikuwa hauna wewe
MTU anaeza nunua iPhone hakose bundles?
9cd57566d98c2649a8f51878cef73214.jpg
 
We ni mjinga about 90% za roads zilidesigniwa kitambo sana so ni paving ndio inaongezwa 2...so upuzi yako ya 2016/17 sitaki
siumeona kichwa yako ilivyo na matatizo hata tuki iscan inakataa hapo ni tutakupiga window inabidi tuku update uwe mpya wakisasa

hahaaa eti hutaki utaki nini sasa ngoja uletewe ujue tanzania na usiijue kwa kuotea otea tu
 
wew hata nikikupa data hiyo kichwa yako imesha expire ngumu kuelewa....aiseee mpaka tuipige window 10
Kijana kuna ki2 inaitwa data analysis na kuna software mingi za analysis yenye hujui kutumia...kazi yangu data analysis usilete ujinga hapa...hizi ndio software
1.epi data
2.SPSS
3. R console
4.Stats
5.SAS
 
siumeona kichwa yako ilivyo na matatizo hata tuki iscan inakataa hapo ni tutakupiga window inabidi tuku update uwe mpya wakisasa

hahaaa eti hutaki utaki nini sasa ngoja uletewe ujue tanzania na usiijue kwa kuotea otea tu
I know Tanzania well..despite the govt owning land it has few roads.. Namnaimba CCM tu
 
I know Tanzania well..despite the govt owning land it has few roads.. Namnaimba CCM tu


I know Kenya well, hakuna barabara iliyojengwa na Mkenya mweusi ukiondoa highway to nowhere Thika, zote ni Muzungu kajenga, Tanzania hatukurithi Barabara yoyote ya lami ktk kwa Mzungu zote tumejenga wenyewe, Tanzania tumeanzia chini kabisa, Mzungu hakuacha chcochote hapa kwetu isipokuwa Reli ya Mjerumani, wakati Kenya mlipewa ready made country lkn bado mmeshindwa kuivusha, zaidi ya kuibomoa, hata Kibera tu imewashinda ingawaje iko tangu Mkoloni!
 
I know Kenya well, hakuna barabara iliyojengwa na Mkenya mweusi ukiondoa Thika highway, zote ni Muzungu kajenga, Tanzania hatukurithi Barabara yoyote ya lami ktk kwa Mzungu zote tumejenga wenyewe!!
Iyo ni Kenya ya huko kwenu....Kenya iliimprove infrastructure yake peke yake na sai sana pave more 10000 km by 2020 iyo italeta total paved to 25000 yenu 7000 na nchi yenu na wananchi ni wengi ila magari ni machache
 
We ni mjinga about 90% za roads zilidesigniwa kitambo sana so ni paving ndio inaongezwa 2...so upuzi yako ya 2016/17 sitaki
Matusi sitaki nimekwambia hizo data aliazoweka mwenzako ni za muda kidogo ngoja nimletee data za 2016 apate picha sasa unachobishana ni nini hapo
 
Iyo ni Kenya ya huko kwenu....Kenya iliimprove infrastructure yake peke yake na sai sana pave more 10000 km by 2020 iyo italeta total paved to 25000 yenu 7000 na nchi yenu na wananchi ni wengi ila magari ni machache


Weka datas hapa wakati Muzungu anakabidhi nchi kwa Mkenya, aliacha kilometa ngapi za barabara kulinganisha na leo hii!
 
Back
Top Bottom