Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).

najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.

umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.

kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).

here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
View attachment 981838View attachment 981839View attachment 981840View attachment 981841View attachment 981843View attachment 981844View attachment 981846View attachment 981847View attachment 981848View attachment 981849View attachment 981851
See the contrast on Jeff's pictures Nairobi-Malindi.

 
nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).

najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.

umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.

kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).

here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
View attachment 981838View attachment 981839View attachment 981840View attachment 981841View attachment 981843View attachment 981844View attachment 981846View attachment 981847View attachment 981848View attachment 981849View attachment 981851
Noma sana wauwe....[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
they will tell you their musicians are building houses in ushago. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji1][emoji1] yaani umechinja kabisa na kweli kwa jinsi walivyo wehu watasema hivyo hivyo.....
Ila ukiwauliza hizo nyumba za ushago ziko wapi mbona hatuzionagi watabaki kitoa macho nakuishia kupost zile kota za wakimbizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaiwekea pin kabisa!!
IMG_1546263433.490804.jpg
IMG_1546263444.673395.jpg
 
nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).

najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.

umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.

kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).

here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
View attachment 981838View attachment 981839View attachment 981840View attachment 981841View attachment 981843View attachment 981844View attachment 981846View attachment 981847View attachment 981848View attachment 981849View attachment 981851

Mkuu nimekamua huo mkeka last week, nimepenya hadi chunya aisee, Kote ni Paved yaani mkeka wa maana, tena hayo maeneo zingatia tu vibao vya 50, kwengineko maliza dashboard,
Wakati narudi juzi toka Iringa hadi mikumi niliongozana na Probox ya mkenya mmoja akasifia sana huo mkeka, alikuwa ametokea Zambia na alinambia wakati anaenda alikatiza Arusha- Dodoma-Iringa, Mbeya, jamaa ana probox ila tulikula sahani moja..
Aisee ni kati ya Barabara za Viwabgo vya juu sana halafu ni over 800km,
Nimekula christmass nyanda za Juu kusini mwa Tz nimecome back kukamua mwaka mpya mjini,
 
God has a good plan for tanzania...you can notice even some people from the country of our competitors/enemies are unintentionally doing a great job of promoting tanzania.

kuna mstari mmoja katika biblia(sikumbuki ni kifungu gani) unazungumzia kuhusu Mungu kuwagawa adui zako, wakose msimamo na waanze kuchukiana wao kwa wao juu yako.

hiki ndio tunachoshuhudia kwa wakenya kuhusu tanzania...wapo wachache wasiofurahishwa na chochote kuhusu tz,lakini wapo wakenya wengi wanaovutiwa na kila kitu kuhusu tanzania. ndio hawa wanaopost kule twitter, instagram, youtube na facebook.
[emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mkuu nimekamua huo mkeka last week, nimepenya hadi chunya aisee, Kote ni Paved yaani mkeka wa maana, tena hayo maeneo zingatia tu vibao vya 50, kwengineko maliza dashboard,
Wakati narudi juzi toka Iringa hadi mikumi niliongozana na Probox ya mkenya mmoja akasifia sana huo mkeka, alikuwa ametokea Zambia na alinambia wakati anaenda alikatiza Arusha- Dodoma-Iringa, Mbeya, jamaa ana probox ila tulikula sahani moja..
Aisee ni kati ya Barabara za Viwabgo vya juu sana halafu ni over 800km,
Nimekula christmass nyanda za Juu kusini mwa Tz nimecome back kukamua mwaka mpya mjini,
hatari sana bro, kwa wale madreve huu mkeka unakufanya mda wote unyoshe mguu...babkubwa sana.

isingekuwa vibao vya 50,watu wangekuwa wanabamiza mpaka mshale unapogomea dadeki.

btw hata mimi nilipofika maeneo ya mikumi national park, nilizipita gari kama mbili hivi za wakenya. nadhani wamekuja tz for holidays.
 
Back
Top Bottom