NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Yaani mambo ni mukide mukideWaendelee kususa aisee,toka nyang'au wakimbie humu kumeongezeka wachangiaji wapya,tena wpo hadi wanigeria,wasouth,waganda wote wanawatoa akili wazee wa kibera

we told them that if they will boycott from participating in the thread, we will use it as platform to showcase the good side of tanzania. watajua hawajui...Halafu eti majirani wanajiaminisha eti huu uzi utakufa soon,watajua hawajui..!
Sent using Jamii Forums mobile app






Usikute wanahesabia na hako kabridge kuwa ni laneHiyo ni 6lane hizo za pembezoni ni kwaajili hako kashort bridge maalum kwaajili yakuingilia kwenye hiyo barabara kuu ambayo ni 6lane......
Na iditoshe ukivuka tu hiko kijipande hizo za pembeni hazionekani
Wakenya ni wapuuzi siku zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ...Ila wakenya ndio watu wajinga sijapata kuona
yaani Thread hii inawaumiza vibaya
kutwa kuanzisha viji thread kuipondea hii kitu
wewe umesusa kaa kimya wacha wanaume wapige Kazi!
Niwafahamishe tu Hii thread haimtegemei Nyang'au yeyote toka Kunya land
Alie anzisha ni mtanzania
Na tutakao amua isiendelee ni Watanzania
nyie ni Vibendera tu fuata upepo
Mtaiona leo kesho mpaka 2025
Mmesusa ikiwa na views 3.4ml
Sasa tupo kwenye 3.9ml
Na punde inaingia kwnye 4m kisha 10ml
Endeleen kukodoa mimacho humu kama panya buku kitu kinasonga
Kwenye barabara bado wapo na Historia ya 1970 wakidhani ndio Tanzania hii ya 2018!!nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).
najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.
umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.
kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).
here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
View attachment 981838View attachment 981839View attachment 981840View attachment 981841View attachment 981843View attachment 981844View attachment 981846View attachment 981847View attachment 981848View attachment 981849View attachment 981851
they will tell you their musicians are building houses in ushago.Wasanii wa Kenya walimkosea nini Mungu?



😂😂😂 Zile ovena mabanda ya mabati jua likipiga wanakua kama mikate. Ila wakenya wana maisha ya hovyo Tanzania sijawahi ona mtu anaishi kwenye ovenathey will tell you their musicians are building houses in ushago.![]()