Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

  • IMG_6688.JPG
    IMG_6688.JPG
    284.5 KB · Views: 34
Ila wakenya ndio watu wajinga sijapata kuona
yaani Thread hii inawaumiza vibaya
kutwa kuanzisha viji thread kuipondea hii kitu
wewe umesusa kaa kimya wacha wanaume wapige Kazi!
Niwafahamishe tu Hii thread haimtegemei Nyang'au yeyote toka Kunya land
Alie anzisha ni mtanzania
Na tutakao amua isiendelee ni Watanzania
nyie ni Vibendera tu fuata upepo
Mtaiona leo kesho mpaka 2025
Mmesusa ikiwa na views 3.4ml
Sasa tupo kwenye 3.9ml
Na punde inaingia kwnye 4m kisha 10ml
Endeleen kukodoa mimacho humu kama panya buku kitu kinasonga
 
Ila wakenya ndio watu wajinga sijapata kuona
yaani Thread hii inawaumiza vibaya
kutwa kuanzisha viji thread kuipondea hii kitu
wewe umesusa kaa kimya wacha wanaume wapige Kazi!
Niwafahamishe tu Hii thread haimtegemei Nyang'au yeyote toka Kunya land
Alie anzisha ni mtanzania
Na tutakao amua isiendelee ni Watanzania
nyie ni Vibendera tu fuata upepo
Mtaiona leo kesho mpaka 2025
Mmesusa ikiwa na views 3.4ml
Sasa tupo kwenye 3.9ml
Na punde inaingia kwnye 4m kisha 10ml
Endeleen kukodoa mimacho humu kama panya buku kitu kinasonga
Haha ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).

najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.

umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.

kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).

here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
PSX_20181231_104621.jpeg
IMG_20181231_104810.jpeg
IMG_20181231_105211.jpeg
IMG_20181231_111521.jpeg
IMG_20181231_111905.jpeg
IMG_20181231_111948.jpeg
IMG_20181231_112253.jpeg
IMG_20181231_112339.jpeg
IMG_20181231_113634.jpeg
IMG_20181231_113655.jpeg
IMG_20181231_113816.jpeg
 
nipo safarini katika mikoa ya nyanda za juu kusini mwa tanzania(tanzania's southern highlands zone).

najua wakenya wanafatilia kimyakimya kila tunacho-post, nataka kuwaonyesha uzuri wa kiasili wa tanzania na ubora wa roads network.

umbali wa kutoka dar es salaam kwenda mbeya kwa gari ni kilomita 813.1. na umbali wa kutoka dar es salaam to mbeya to tunduma jirani na nchi ya zambia ni kilomita 915.7.

kilomita zote hizo zipo connected na barabara ya lami(paved road). hiyo ni zaidi ya umbali wa kutoka kisumu to nairobi to mombasa(831.6 kilomita).

here are my roadtrip photos. enjoy
photos credit: kadoda11
View attachment 981838View attachment 981839View attachment 981840View attachment 981841View attachment 981843View attachment 981844View attachment 981846View attachment 981847View attachment 981848View attachment 981849View attachment 981851
Kwenye barabara bado wapo na Historia ya 1970 wakidhani ndio Tanzania hii ya 2018!!
Wataelewa tu
 
Back
Top Bottom