Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haitasaidia...kitakacho mbeba azamtv ni commentaries za kiswahili zenye vionjo vya kiswahili.

pili studio zao kuwa dar es salaam zitawafanya wawe rahisi zaidi kuwa interactive na mashabiki na wadau wa soka wa hapa nyumbani ambao ni wengi sana.

tofauti na dstv, studio zao hazipo tanzania, zipo SA. ndio maana huwa inawalazimu kila wikiendi kuwasafirisha akina kibonde kwenda SA kufanya commentary za kiswahili.
Itasaidia kufanya wateja wao(DSTV) wasihame kufuata FA cup and trust me wataweka kwenye cheapest bouquet kama La Liga.
 
nasikia wasafi jana waliharibu show kidogo... lakn bado hela walizikusanya 🤣🤣🤣
IMG_1546334944.122828.jpg
IMG_1546334953.558881.jpg
IMG_1546334963.845985.jpg
 
Itasaidia kufanya wateja wao(DSTV) wasihame kufuata FA cup and trust me wataweka kwenye cheapest bouquet kama La Liga.
Kuna uwezekano mkubwa wakafanya hivyo.. ila atakua ameipata pinch maana mwisho itagusa mapato yake. Ata kitendo cha kupeleka watu sauzi kila week end kimetokana na Azam kuomba rights kwa gear ya kiswahili. DSTV wana feel pinch ya Azam vizuri sana. Azam alipatia sana alivyo anza na ligi ya bongo, Bongo kuna watu wana penda TPL kuliko EPL. Halafu sioni namna ambavyo DSTV anaeza shinda rights za TPL ila kuna uwezekano Azam akapata haki za EPL ila siyo kwa Africa nzima.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
This project coming up nicely


Mtwara Port Expansion Started
source: Mtwara Port Expansion Works Started - TanzaniaInvest

On March 4, 2017 Tanzanian President John Magufuli placed the foundation stone for the expansion works at the Mtwara port in southern Tanzania.
The construction works for a new 350-meter long berth will take 21 months to be completed.

This will greatly enhance the port’s capacity to accommodate large vessels to dock and to serve Dangote’s 3.0Mta cement plant in Mtwara, as well as increase the port’s overall cargo capacity, the Tanzania Ports Authority (TPA) indicates.

The Mtwara port transported 273,886 metric tons of cargo in 2015/2016 and 388,000 tons in 2016/2017, approaching the port’s maximum cargo capacity of 400,000 tons per year.

The port is one of the three major ports of Tanzania. Others are Dar es Salaam, and Tanga in the north.

The port is destined to be an alternative cargo gateway for cargo bound for southern Tanzania, Malawi, Eastern Zambia and Northern Mozambique.
The Mtwara port has witnessed an increased in activity since the beginning of offshore oil and gas exploration activities in Southern Tanzania.


Furthermore, the Liganga iron ore and the Mchuchuma coal mining projects are also expected to use the Mtwara port.

The port is also an integral part of the Mtwara Development Corridor project and has a special economic zone attached to it.








2ynhizp.jpg

^^ Rendering

Vgm9QtQ.png

^^ Layout Plan (actual construction works was started in May 2018)






Stack Yard and Reclamation
HMDFMgb.jpg


ADaCFvw.jpg


ZjKQzhd.jpg


VdzwOfD.jpg


7ZtWxfK.jpg

^^ soil loading test

ZRjWVQu.jpg


ygTrdj2.jpg


dEHOS7M.jpg


l7v0ruG.jpg









Berth Construction
xnou3Fv.jpg


exYtCmy.jpg


Jhjafmq.jpg


wwjqQyG.jpg







Dredging
IxhuSnm.jpg


Sy61V2C.jpg









9yJXZuX.jpg


FQLHJLX.jpg

^^ panorama

source source


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
This project coming up nicely


Mtwara Port Expansion Started
source: Mtwara Port Expansion Works Started - TanzaniaInvest

On March 4, 2017 Tanzanian President John Magufuli placed the foundation stone for the expansion works at the Mtwara port in southern Tanzania.
The construction works for a new 350-meter long berth will take 21 months to be completed.

This will greatly enhance the port’s capacity to accommodate large vessels to dock and to serve Dangote’s 3.0Mta cement plant in Mtwara, as well as increase the port’s overall cargo capacity, the Tanzania Ports Authority (TPA) indicates.

The Mtwara port transported 273,886 metric tons of cargo in 2015/2016 and 388,000 tons in 2016/2017, approaching the port’s maximum cargo capacity of 400,000 tons per year.

The port is one of the three major ports of Tanzania. Others are Dar es Salaam, and Tanga in the north.

The port is destined to be an alternative cargo gateway for cargo bound for southern Tanzania, Malawi, Eastern Zambia and Northern Mozambique.
The Mtwara port has witnessed an increased in activity since the beginning of offshore oil and gas exploration activities in Southern Tanzania.


Furthermore, the Liganga iron ore and the Mchuchuma coal mining projects are also expected to use the Mtwara port.

The port is also an integral part of the Mtwara Development Corridor project and has a special economic zone attached to it.








2ynhizp.jpg

^^ Rendering

Vgm9QtQ.png

^^ Layout Plan (actual construction works was started in May 2018)






Stack Yard and Reclamation
HMDFMgb.jpg


ADaCFvw.jpg


ZjKQzhd.jpg


VdzwOfD.jpg


7ZtWxfK.jpg

^^ soil loading test

ZRjWVQu.jpg


ygTrdj2.jpg


dEHOS7M.jpg


l7v0ruG.jpg









Berth Construction
xnou3Fv.jpg


exYtCmy.jpg


Jhjafmq.jpg


wwjqQyG.jpg







Dredging
IxhuSnm.jpg


Sy61V2C.jpg









9yJXZuX.jpg


FQLHJLX.jpg

^^ panorama

source source


Sent from my iPhone using JamiiForums
Magufuli Mungu ampe maisha marefu
 
Kuna uwezekano mkubwa wakafanya hivyo.. ila atakua ameipata pinch maana mwisho itagusa mapato yake. Ata kitendo cha kupeleka watu sauzi kila week end kimetokana na Azam kuomba rights kwa gear ya kiswahili. DSTV wana feel pinch ya Azam vizuri sana. Azam alipatia sana alivyo anza na ligi ya bongo, Bongo kuna watu wana penda TPL kuliko EPL. Halafu sioni namna ambavyo DSTV anaeza shinda rights za TPL ila kuna uwezekano Azam akapata haki za EPL ila siyo kwa Africa nzima.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Binafsi kinachonifanya niendelee kumiliki king'amuzi cha azam ni tpl tu,si kingine
 
Pesa ya kuwalipa waalimu hawana😂😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇

 
😂😂😂😂 maisha yamebana nyuzi alaf utaskia wanajisifu wana capacity kubwa ya electricity wakat wanakufa wanajiona


 
Back
Top Bottom