thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Four au eightUtawawezaa? Labda kwenye unapokaribia kupiga kona, hahaaa Jpm sio mjinga kuweka 4lanes alijua hazipo hapa EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Four au eightUtawawezaa? Labda kwenye unapokaribia kupiga kona, hahaaa Jpm sio mjinga kuweka 4lanes alijua hazipo hapa EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee leo nimeamini hawa jamaa ni wazushiUtawawezaa? Labda kwenye unapokaribia kupiga kona, hahaaa Jpm sio mjinga kuweka 4lanes alijua hazipo hapa EA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana....That view from here (Rhapsody’s)
View attachment 981187
View attachment 981188
Sent from my iPhone using JamiiForums


Hiyo ni 6lane hizo za pembezoni ni kwaajili hako kashort bridge maalum kwaajili yakuingilia kwenye hiyo barabara kuu ambayo ni 6lane......Em naomba kueleweshwa kidogo, Kuna mdau humu kutoka 254 alikua anasema Thika Highway in 8 lanes ukitoa service Roads, na kama ukiweka na service roads basi ni 12 lanes, sasa hapo chini kwenye picha mbona naona 6 Lanes ukitoa service roads na kama utaweka service roads ni 10 lanes na sio 12 kama alivyo dai..Au hizi picha hapo chini Sio zaThika Highway wakuu maana sijawahi fika 254???
View attachment 981278View attachment 981279
Kwenye maneno 10 ya mkenya chukua moja uondoke zakoAsee leo nimeamini hawa jamaa ni wazushi




Na kila wakikuletea picha ni hako hako kaeneoHiyo ni 6lane hizo za pembezoni ni kwaajili hako kashort bridge maalum kwaajili yakuingilia kwenye hiyo barabara kuu ambayo ni 6lane......
Na iditoshe ukivuka tu hiko kijipande hizo za pembeni hazionekani
Wakenya ni wapuuzi siku zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani majamaa ni zero kabisa..Na kila wakikuletea picha ni hako hako kaeneo
Barabara hiyo ni Njia 6 pekee lakini jamaa kwa misifa wanakuambia 12
Tulisha waeleza wakawadanganye wanaigeria sio Watanzania
Waendelee kususa aisee,toka nyang'au wakimbie humu kumeongezeka wachangiaji wapya,tena wpo hadi wanigeria,wasouth,waganda wote wanawatoa akili wazee wa kiberaHarufu ya wakenya kurudi kundini inanukia...
Hatubdmbelezi mtu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app