Jamaa ni wateja wetu! Lazma watoe povuu!baada ya diamond platnumz sasa inafata zamu ya kijana alikiba kukusanya pesa ya wakenya na kurudisha nyumbani.
tutaelewana tu.
View attachment 982350
Nawe pia .....Going to hunt some fireworks guys, if I’m lucky will share some images. Wish you a happy new year guys. Stay blessed.
View attachment 982487
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeisahau Zimbabwe.. contract ni mpaka 2021, Nasikia burudani zaidi zinakuja.tukiwa tumebakiza dakika chache kuingia 2019,nataka wakenya wajue kwamba azam tv imepata haki ya kuonyesha mechi zote za emirates FA cup(full package broadcasting rights).
mnaweza ku google kama hamjui emirates FA cup ni nini.
haya ni mafanikio makubwa sana kwa tv inayomilikiwa na mtanzania kupata haki ya kuonyesha emirates FA cup.
azam tv inauza decoders zake nchini tanzania, uganda, rwanda, burundi, malawi na kenya. katika county ya mombasa, azam tv inawateja wengi sana.
View attachment 982480View attachment 982481View attachment 982482View attachment 982483View attachment 982484
Nawe pianyie watanzania sio watu wazuri aisee nimerudi sioni nyang'au, wamekimbia wote dah!. happy new year guys.


Hahaha Raha sana huu mwaka tuombe uzima watakoma
twasubiria we know you wont disappointGoing to hunt some fireworks guys, if I’m lucky will share some images. Wish you a happy new year guys. Stay blessed.
View attachment 982487
Sent from my iPhone using JamiiForums
Happy New Year!!!!
forward ever backward never, mkisusa kula sisi tunakula.nyie watanzania sio watu wazuri aisee nimerudi sioni nyang'au, wamekimbia wote dah!. happy new year guys.
Umeisahau Zimbabwe.. contract ni mpaka 2021, Nasikia burudani zaidi zinakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app









Duh DSTV kweli mabeberu. Baada ya kuona Azam kaleta FA cup nao wameirudisha kwenye package zao!tukiwa tumebakiza dakika chache kuingia 2019,nataka wakenya wajue kwamba azam tv imepata haki ya kuonyesha mechi zote za emirates FA cup(full package broadcasting rights).
mnaweza ku google kama hamjui emirates FA cup ni nini.
haya ni mafanikio makubwa sana kwa tv inayomilikiwa na mtanzania kupata haki ya kuonyesha emirates FA cup.
azam tv inauza decoders zake nchini tanzania, uganda, rwanda, burundi, malawi na kenya. katika county ya mombasa, azam tv inawateja wengi sana.
View attachment 982480View attachment 982481View attachment 982482View attachment 982483View attachment 982484
Huu ushindani wa AZAM kwa hawa makaburu ni faida kwetu sisi walaji,,hope sasa michuano ya FA tutaanza kuiona kwenye kifurushi cha 19,000/- cha DSTvDuh DSTV kweli mabeberu. Baada ya kuona Azam kaleta FA cup nao wameirudisha kwenye package zao!
haitasaidia...kitakacho mbeba azamtv ni commentaries za kiswahili zenye vionjo vya kiswahili.Duh DSTV kweli mabeberu. Baada ya kuona Azam kaleta FA cup nao wameirudisha kwenye package zao!