Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maskini mungiki,kibandari chao cha mombasa wachina wanakichukua jumla,so sad kwa kibera guys wa hapa jf,maana mdomo mwingi hapa jf huku nchi yao njaa kali
 
Kiufupi tunaenda kuivunja rekodi yetu wenyewe, Nyerere bridge haijapata mpinzani hapa EA toka limalizike, sasa Selander bridge likimalizika tutatengeneza rekodi hiyo hiyo: The longest suspension bridge in EA
DsNXI3pXoAA9whT.jpg
 
Kwenye terminal building naona wanatumia advance building technology kwenye constructions hatari sana hawa watu👇👇👇👇 hawa jamaa wako under europen standardsView attachment 972976View attachment 972977
👏👏👏👏👏👏👌 Dah hii structure huwezi kulifananisha na prism ule uchafu wa Nairobi,
images
japo yatafanana kimuonekano na outer finishing materials lakini hili la TRC litakua la kikonki zaidi
 
Hapo mbele patakua na station kaliii, mixed use, with malls and other recreational facilities.
kitu nilichopenda zaidi stesheni zetu kubwa karibu zote ziko mjini, maana yake malls na biashara zingine zitaendelea kama kawaida na tunaweza tumia kwa ajili ya commuter train, unaweza toa watu Pugu unawaleta city centre tofauti na kenya, nairobi na mombasa terminal ziko nje hivyo zinatumika pale kunapokuwa na safari za train tu, ni wastage of money kwa majengo yale kuwa idle muda mrefu.
 
Kiufupi tunaenda kuivunja rekodi yetu wenyewe, Nyerere bridge haijapata mpinzani hapa EA toka limalizike, sasa Selander bridge likimalizika tutatengeneza rekodi hiyo hiyo: The longest suspension bridge in EA
View attachment 972971
na kigongo-busisi bridge karibu km 3 tender nasikia itatangazwa soon.
 
Back
Top Bottom