Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Stiglers gorge imewakimbiza wakenya alaf mbaya waliposkia ni pesa za magu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameshangaa kuskia magu katoa 3b usd for stiglers gorge alaf waliposkia na phase one SGR 1.2b usd imetolewa na tanzani raha zimewaisha kabisa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ichoboy jamaa uko waliko usiku wakilala wanakuota unawakimbiza na upanga [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa hivi hapa barazani tumebaki wenyewe pametulia nakunywa kahawa yangu made in tz bila bugudha[emoji3][emoji3][emoji3]. Watu wana discus maendeleo bila wale vichaa wa upande wa pili kuzingua let's go team tz and show our muscles we are here to stay and show what we got maumivu mpaka 2025[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Juzi hiii👇👇👇👇👇👇3b usd










Jana hiii👇👇👇👇👇👇👇 146b tsh












Leo hii👇👇👇👇👇👇 234b tsh












Keshokutwa hizi mbili👇👇👇👇








👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Ndani ya siku nne tanzania inafanya maajabu ambayo yangeichukua kenya 20yrs ukichanganya na ufisadi may b 30yrs😂😂😂
 
tutaelewana tu.
IMG_20181220_093454.jpeg
IMG_20181220_085354.jpeg
IMG_20181220_085346.jpeg
tapatalk_1545281964441.jpeg
tapatalk_1545281948575.jpeg
 
Alaf utaskia wanakwambia walijenga kwa plan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukimuuliza slums zilitokea wapi wanakasirikana kupost picha za congo na nigeria wakisema dar
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom