Katika marais walioua uchumi wa kenya ni kenyatta amemaliza kabisa hio nchi anapoteza pesa nyingi sana kuzunguka duniani ๐๐๐๐Hiyo naisikia sikia.. chuma kikihamia huko ndiyo balaa juu ya balaa. Magu ni bingwa kwenye sekta ya ujenzi nazani dunia nzima hamna kama yeye, ila Uhuru ni bingwa wa kupiga pesa, ameikamua Kenya vilivyo by the time anasepa kenya itakua jimbo la China.
Labda umsaidie hiii๐๐๐ MK254 ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ kokote uliko salamu na harufu ya white elephant ikufikiewatajua hawajui.. [emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 972470View attachment 972471
MK254 nimeona sehemu unauliza source ya hii habari.
well, source ni daily nation(one of the reputable news paper in kenya).
sihitaji uje ukomenti.nataka upate notification then usome kimyakimya halafu utafakari.
Magorofa yanagombania kuwa Dar
Hii barabara upana kama uwanja wa mpira. Kuanzia Kibaha kutakua na uwezekano wa kuona majengo ya Posta mbele ya barabara.Ujenzi ukiendelea kwa kasi sana[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 972532
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asome then atokomee kizani, asituletee mapovu hatuna nguo chafu
tutaelewana tu... [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Something good is on its way.
Note: TPA and TRC have been tagged [emoji102]
View attachment 972593View attachment 972594View attachment 972596
Waache wao waendelee kukopaStiglers gorge imewakimbiza wakenya alaf mbaya waliposkia ni pesa za magu๐๐๐๐๐๐๐๐ wameshangaa kuskia magu katoa 3b usd for stiglers gorge alaf waliposkia na phase one SGR 1.2b usd imetolewa na tanzani raha zimewaisha kabisa๐๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHiyo naisikia sikia.. chuma kikihamia huko ndiyo balaa juu ya balaa. Magu ni bingwa kwenye sekta ya ujenzi nazani dunia nzima hamna kama yeye, ila Uhuru ni bingwa wa kupiga pesa, ameikamua Kenya vilivyo by the time anasepa kenya itakua jimbo la China.
Ndii akiingia madarakani tutakua tunamkopesha helaStiglers gorge imewakimbiza wakenya alaf mbaya waliposkia ni pesa za magu๐๐๐๐๐๐๐๐ wameshangaa kuskia magu katoa 3b usd for stiglers gorge alaf waliposkia na phase one SGR 1.2b usd imetolewa na tanzani raha zimewaisha kabisa๐๐๐๐๐
Ndii ni mchumi anaewaeleza ukweli ilihali wao hawapendi ukweli aliwaambia kuhusu SGR wakamuona mjinga sana kwasbabau yuko upinzaniNdii akiingia madarakani tutakua tunamkopesha hela
nyumbu wameamua kurudi kwenye makazi yao ya kudumu... [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122]
View attachment 972728