ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ππππππππππ Ila likoni imeimbwa hapa mpaka imekua kama salamu
ππππππππππ Ila likoni imeimbwa hapa mpaka imekua kama salamu
Ikarusi kumbakumbaKwa kuwasaidia tu wakenya wanaochungulia humu.
Quality transport Dar hatujaanza karne hii.
Enzi za nyerere tulileta hizi
View attachment 972933
Na enzi za Magufuli tunatumia hizi
View attachment 972942
Ichoboy hua sio mtu mzuri kabisa kwa Nyang'au [emoji23][emoji23]Juzi hiii[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]3b usd
Jana hiii[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] 146b tsh
Leo hii[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] 234b tsh
Keshokutwa hizi mbili[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241] Ndani ya siku nne tanzania inafanya maajabu ambayo yangeichukua kenya 20yrs ukichanganya na ufisadi may b 30yrs[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni stesheni bora sana Hakuna kupandia nje kama gari moshi la kule kwa Nyang'auHapo mbele patakua na station kaliii, mixed use, with malls and other recreational facilities.
Hakuna sector imelalaπππΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ
Ila kiukweli watu wa Mombasa nao majangaLikoni bridge haitakuwepo mpaka yesu ashukeππππ
wallah i have been talking to myself that these kenyans watajua hawajui.Kiufupi tunaenda kuivunja rekodi yetu wenyewe, Nyerere bridge haijapata mpinzani hapa EA toka limalizike, sasa Selander bridge likimalizika tutatengeneza rekodi hiyo hiyo: The longest suspension bridge in EA
View attachment 972971
Haha
Pia kuna 3 km bridge ya Mwanza.π€£π€£π€£π π π
Inawezekana walikua wana kuja kwa kunyata ila baada ya hilo swali.. watakua wametimua mbio na kutokomea kusiko julikana [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23] Mungiki yeyote unaenisoma naomba taarifa za likoni Bridge tuweke kumbukukumbu sawa tafadhali
Kama ile ya Mombasa, ipo ndani ndani inabidi mtu apande bus nakutumia kama lisaa limoja kufika town. Kibaya hamna route ya mabus, kuna vi shuttle na ni very expensive. Watu wamelalamika sana.kitu nilichopenda zaidi stesheni zetu kubwa karibu zote ziko mjini, maana yake malls na biashara zingine zitaendelea kama kawaida na tunaweza tumia kwa ajili ya commuter train, unaweza toa watu Pugu unawaleta city centre tofauti na kenya, nairobi na mombasa terminal ziko nje hivyo zinatumika pale kunapokuwa na safari za train tu, ni wastage of money kwa majengo yale kuwa idle muda mrefu.
Sio Mombasa tu...Pamoja na Nairobi...Kama ile ya Mombasa, ipo ndani ndani inabidi mtu apande bus nakutumia kama lisaa limoja kufika town. Kibaya hamna route ya mabus, kuna vi shuttle na ni very expensive. Watu wamelalamika sana.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app