Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jibu lako ni dogo sana👇👇👇👇View attachment 966027
20 km Kutoka wapi!? Direct vector BLUE TOWERS to UDSM is roughly 8Km. Using longest route is 14 Km
Screenshot_20181212-160457.png
 
nimepata taarifa kwamba yule nyanya housemaid na kahaba wa kikenya ameni qoute.

mwambieni aendelee tu kuni-qoute. msimamo wangu upo pale pale.sitom-qoute, asubiri mpaka august next year.
 
Hahahaaaha .No apologies for what I'm going to write.
Mods you can as well as delete my posts in this shitty thread or I can delete them myself. I am not as lazy as the famous albino eaters.

I've realized that there are so many uncircumcised men who are suffering from phimosis and balanitis and it seems that those bacteria have affected their brain hence their reasoning is low. Now that combined with the negative effects of high intake of albino soup makes them react this way. Cannabis sativa is safer.
There's no way I'll continue lowering myself to this ignominious cretins level.
 
RIP👇👇👇👇👇 maskini ndoto zake zimeishia hapo

 
Kazi ya Usimikaji wa Nguzo za Umeme utakaotumika Kuendesha treni za Kisasa zitakazotumia Umeme na Reli ya kisasa - SGR imeanza eneo la Soga nje Kidogo ya Kambi ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa liyopo Soga mkoani Pwani mapema Desemba 2018.

Nguzo hizo zinajengwa umbali wa Mita 50 kutoka nguzo moja hadi nyingine, urefu wa nguzo moja ni Mita 9.5 huku uzito wa nguzo Moja ukiwa wa Tani 2.4, zina uwezo wa kudumu kwa kipindi cha Miaka 120 pia zimewekewa madini ya Zinki kwa ajili ya kuzuia kutu ambapo zaidi ya kilometa kumi tayari zimesimikwa nguzo.
DSC_7193.JPG
DSC_7182.JPG
DSC_7179.JPG
 
Kazi ya Usimikaji wa Nguzo za Umeme utakaotumika Kuendesha treni za Kisasa zitakazotumia Umeme na Reli ya kisasa - SGR imeanza eneo la Soga nje Kidogo ya Kambi ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa liyopo Soga mkoani Pwani mapema Desemba 2018.

Nguzo hizo zinajengwa umbali wa Mita 500 kutoka nguzo moja hadi nyingine, urefu wa nguzo moja ni Mita 9.5 huku uzito wa nguzo Moja ukiwa wa Tani 2.4, zina uwezo wa kudumu kwa kipindi cha Miaka 120 pia zimewekewa madini ya Zinki kwa ajili ya kuzuia kutu ambapo zaidi ya kilometa kumi tayari zimesimikwa nguzo.
View attachment 966106View attachment 966107View attachment 966108
wataelewa tu, kama sio kwa lugha adhimu ya kiswahili au kwa kingereza basi hata kwa lugha za kienyeji za makabila yao ya kenya.
 
kuna mkenya mmoja jinga amekuja na madai eti stiegler's gorge hydroelectric power that we have signed today with Egypt, is for competition purposes.

every big project that we do, we do it for national interest, hatushindani na nchi yoyote.


FYI, stiegler's gorge project ilianza kujadiliwa tangu enzi za mzee nyerere. lilikuwa ni suala la wakati tu na wakati huo ni sasa.hapa kazi tu.

kama tungekuwa tunataka kushindana na wakenya kwa kila kitu basi leo hii kila sehemu ya jiji la dar ingekuwa imejaa malls kama zilivyojaa nairobi.

tungekuwa tunataka kushindana na wakenya kwa kila kitu basi leo hii kila sehemu ya nchi ingekuwa imetapakaa migahawa ya junk food kama KFC nk.
Nipe detail Zake nikamrarue!
 
Back
Top Bottom