Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

95484743-EFB2-4294-98F2-046E59DE4AE2.jpeg
 

Attachments

Kuanzia Leo ubishi wa umeme kuendeshea huu mradi umezikwa rasmi! Watu wangoje aina za treni zitakazonunuliwa! Nina uhakika Magu atakuja na kitu cha maana!
Ni bullet za maana kuna jamaa mmoja kanieleza anasema ni bullet za adabu yani ni za kipekee africa amenambia zitakua na uwezo wa ku record ubovu wa reli kokote na system zake ni hatari👏👏👏👏👏
 
Ni bullet za maana kuna jamaa mmoja kanieleza anasema ni bullet za adabu yani ni za kipekee africa amenambia zitakua na uwezo wa ku record ubovu wa reli kokote na system zake ni hatari👏👏👏👏👏
Wasizi-limit speed yaani wanunue zenye speed above 250km/h ili wale wa mtambo wa gongo wakianza ku-electrify SGR yao sisi tuna-modernize kona halafu mchuma unakimbizwa zaidi.
 
Wasizi-limit speed yaani wanunue zenye speed above 250km/h iliac wale wa mtambo wa gongo wakianza ku-electrify SGR yao sisi tuna-modernize kona halafu mchuma unakimbizwa zaidi.
Lazma wanunue ambayo itaenda zaidi ya 200km per hr kuna sehemu nilisoma from moro to dom itakwenda speed mpaka 200 kwa saa👏👏👏👏

Wale wata mordenize how na waliingia chakike wakavaa sidiria 😂😂ndoto hio sio ya leo wala kesho ni pesa nyingi sana kubadilisha mifumo its not a joke
 
BTW looking at the project picture I see a chance for other 2100 MW with this design look at the location of turbines only on the left bank and the right bank is left unused probably for future expansion!

 
kuna mkenya mmoja jinga amekuja na madai eti stiegler's gorge hydroelectric power that we have signed today with Egypt, is for competition purposes.

every big project that we do, we do it for national interest, hatushindani na nchi yoyote.


FYI, stiegler's gorge project ilianza kujadiliwa tangu enzi za mzee nyerere. lilikuwa ni suala la wakati tu na wakati huo ni sasa.hapa kazi tu.

kama tungekuwa tunataka kushindana na wakenya kwa kila kitu basi leo hii kila sehemu ya jiji la dar ingekuwa imejaa malls kama zilivyojaa nairobi.

tungekuwa tunataka kushindana na wakenya kwa kila kitu basi leo hii kila sehemu ya nchi ingekuwa imetapakaa migahawa ya junk food kama KFC nk.
 
Back
Top Bottom