ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Leo najua utalala kwa hasira sana but please take shower najua mwili umechemka sana😂😂😂😂😂😂😂THE LOOSER IS : I CHOO GIRL ..Translation I toilet girl..
Good night team following
Unaubishi sana ichoboy.Shida kuringanisha au shida kusherekea sijakuelewa????😂😂😂😂
Mnaharibu huu Uzi. Kama hivi anzisheni Uzi Mbeya Vs DaadabPunguza hasira hazitakusaidia 😂😂😂😂👇👇👇👇👇 View attachment 963670View attachment 963671View attachment 963672View attachment 963673View attachment 963674View attachment 963675View attachment 963676View attachment 963677View attachment 963678View attachment 963679View attachment 963680View attachment 963681
Shida za Wabongo ni ubishi. Sisi Kama Wakenya tunawasaidia kuwapa upeo wa jinsi Miji inastahili kuwa. Sisi wenyewa hatujafika lakini tuko mbele yenu. Hivi mngesikiza kisha mpeleke uzushi kwa serikali yenu ilifanye mambo kama Kenya mngepiga hatua kutoka LDC. LAKINI SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, WALA HALINA KAFARA.Kwa hiyo sisi ndo hatuna malls?
Kupangwa tu nilidhan mengineShida za Wabongo ni ubishi. Sisi Kama Wakenya tunawasaidia kuwapa upeo wa jinsi Miji inastahili kuwa. Sisi wenyewa hatujafika lakini tuko mbele yenu. Hivi mngesikiza kisha mpeleke uzushi kwa serikali yenu ilifanye mambo kama Kenya mngepiga hatua kutoka LDC. LAKINI SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, WALA HALINA KAFARA.
MFANO, TAZAMA JIJI LA NAIROBI LILIVYO PANGWA, JE DAR IS SLUM KUNA SEHEMU ILIYOPANGIKA HIVI!? ANGALIA STREETS.
View attachment 963898
kabisa bro... kabisaNoma kweli kweli wakenya hatari.
kaka zako na dada zako wamejaza miji ya Kenya na sasa wanaelekea vitongojini wakiombaomba bila soni bila haya hadi inatia kinyaa. njoo uwachukueKenya maskini sanaa
Hiyo mbeya ni kijiji tu........
Nlishasemaga hawa ni nyumbuTatizo hawaelewi
Arusha yenyewe ukitoa some countable ghorofa ni dadaab tu......hii kuwa ldc ni taabuDuh!!that's a city?
Here's a town in Kenya
View attachment 963912View attachment 963913View attachment 963914
Mbona unaleta majengo mokomoko? lete inayoonesha sehemu kubwa kama hii:Duh!!that's a city?
Here's a town in Kenya
View attachment 963912View attachment 963913View attachment 963914