Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I rather go to slp than arguing with you,so you can tell me NBO isn't a city because London is so much ahead of you in everything?there are basic classifications for town to be called city ,even kisumu isn't a city when you name it along with Miami
Mbeya is not even a town...not even a trading centre its a refugee camp
 
Huna jambo.. ......
Cha kwanza kaa ukijua mbeya ni sehemu iliyopitiwa na bonde la ufa hivyo milele usitegemee mbeya iwe na building yenye floor saba na kuendelea,,,nakingine ni mkoa mahususi kabisa kwa uzalishaji wa chakula na hii yote imetokana kuwa ni mkoa uliobarikiwa kwa ardhi yenye rutuba......

Hivyo huu ni mkoa ambao unajengwa kwa speccial plan kwa building zenye floor chache kwa umakini wa hali ya juu......

Mbeya ni safi sana
mwenzako ameenda Arusha sasa
 
Iringa imekutoa ushuzi unawaza mbeya mulijua bado ni ile tz ya 90s๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
MWONGO MJINGA KUMBAFUUUUU..HII NI MBEYA YA WAPI??? FOOLISH MORON
2.PNG
 
Back
Top Bottom