Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Victoria Place



IMG_6283.JPG



IMG_6284.JPG
 
Nyerere aliita London of Africa...
Nyerere mtu mjanja sana alijua kuwa nairobi inamilikiwa na watu wa london hadi leo hii,wakenya wenyewe wanaozea kwa slums kama vile mama mboga,kayole,mathare,kibera jehanamu na kiambiui na korogocho e.t.c
 
Tuusan wacha kutuboronga. Sema tu Upanga. Unataka tuseme kuna west, south, na North pia!?
Ndio tabia zao.....kwa hii picha kilomita mbili pekee kuna Morocco,kijitonyama,mwanyamala ,makumbusho bla bla hawa watu usitake serious
tapatalk_1543470206529.jpeg
 
Njooni muone huyu zuzu akisema Westland s upande wa Delta ati ni cbdHadi Raha.....ivi kumbe hawa watu hawaijui Nairobi

Jitoe na hapa sasa😂😂😂😂👇👇👇
Ngoma tatu kwenye picha moja
C56C9007-E1B0-438A-8023-E97FD08058FD.jpeg
 
Dada kilimani bado ,old cbd bado, parklands,ngara,haziko..upperhill ndio imeigia karibu yote...
Khaa kumbe huyu sevenup naye ni demu!! Wanangu wabongo eeh tusije tukawa tuna-argue na mademu wa kenya hapa,kwa maana their reasoning capacity inatia mashaka washkaji!!
 
Huoni ya dar imepigiwa mbali zaidi?tafuta picha ya karibu inayokusanya city centre yote. ..hata kama umepewa penalty kuna distance yake yakupigia
Asante hii hapa sasaupperhill +robo ya Westlands
tapatalk_1544374300924.jpeg
tapatalk_1539556907672.jpeg
 
Back
Top Bottom