Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,141
Mbavu zangu ati cbd iko wapi.....yaani westlands ati ndio unasema sema cbdUmeona enhh upperhill CBd na westland kwenye picha moja haina tofaut na hiiView attachment 962553View attachment 962555
Mbavu zangu ati cbd iko wapi.....yaani westlands ati ndio unasema sema cbdUmeona enhh upperhill CBd na westland kwenye picha moja haina tofaut na hiiView attachment 962553View attachment 962555
Yawezekana mlitenga pesa nyingi ya research mwaka huu kuliko UDSMMkiona UDSM hView attachment 962699View attachment 962700View attachment 962701View attachment 962702apa mnitusi ng'ombe
Njooni muone huyu zuzu akisema Westland s upande wa Delta ati ni cbdHadi Raha.....ivi kumbe hawa watu hawaijui NairobiUmeona enhh upperhill CBd na westland kwenye picha moja haina tofaut na hiiView attachment 962553View attachment 962555
Huoni ya dar imepigiwa mbali zaidi?tafuta picha ya karibu inayokusanya city centre yote. ..hata kama umepewa penalty kuna distance yake yakupigiaNairobi Vs dar 2018 wacha povuView attachment 962720View attachment 962721
Nyerere mtu mjanja sana alijua kuwa nairobi inamilikiwa na watu wa london hadi leo hii,wakenya wenyewe wanaozea kwa slums kama vile mama mboga,kayole,mathare,kibera jehanamu na kiambiui na korogocho e.t.cNyerere aliita London of Africa...
Bla blah upaga north south west ata mpaite majina Mia habari ndio hii .......Battleunga dar Vs upperhill 2018 +quarter of Westland
Unajifanya huoni 😂😂😂😂😂Mbavu zangu ati cbd iko wapi.....yaani westlands ati ndio unasema sema cbd
Bla blah upaga north south west ata mpaite majina Mia habari ndio hii .......Battleunga dar Vs upperhill 2018 +quarter of WestlandView attachment 962726View attachment 962727
Ndio tabia zao.....kwa hii picha kilomita mbili pekee kuna Morocco,kijitonyama,mwanyamala ,makumbusho bla bla hawa watu usitake seriousTuusan wacha kutuboronga. Sema tu Upanga. Unataka tuseme kuna west, south, na North pia!?
Njooni muone huyu zuzu akisema Westland s upande wa Delta ati ni cbdHadi Raha.....ivi kumbe hawa watu hawaijui Nairobi
Tuonyeshe no gani Kali please umepost ....zileza kurudiarudia Naina sindano imekuingiaTukipost picha kali za Bongo hamuongei lol mtakufa me nyongo
Sasa angalia leo nataka kukufundisha kituNairobi Vs dar 2018 wacha povuView attachment 962720View attachment 962721
Khaa kumbe huyu sevenup naye ni demu!! Wanangu wabongo eeh tusije tukawa tuna-argue na mademu wa kenya hapa,kwa maana their reasoning capacity inatia mashaka washkaji!!Dada kilimani bado ,old cbd bado, parklands,ngara,haziko..upperhill ndio imeigia karibu yote...
Kwanini usifanye kucompare na hiiBla blah upaga north south west ata mpaite majina Mia habari ndio hii .......Battleunga dar Vs upperhill 2018 +quarter of WestlandView attachment 962726View attachment 962727
Weka picha moja usave data kijanawacha nikusaidie maneno ya kujaza server's hatutaki
Njoo utembee kwa miguu unaimaliza kwa lisaa tuNdio tabia zao.....kwa hii picha kilomita mbili pekee kuna Morocco,kijitonyama,mwanyamala ,makumbusho bla bla hawa watu usitake serious View attachment 962732
Asante hii hapa sasaupperhill +robo ya WestlandsHuoni ya dar imepigiwa mbali zaidi?tafuta picha ya karibu inayokusanya city centre yote. ..hata kama umepewa penalty kuna distance yake yakupigia