Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msasani peninsula (Masaki)
Kule Kenya hii tayari ni CBD lol
istockphoto-1042066638-640x640.jpg
istockphoto-1042067236-640x640.jpg
0L7C1188.jpg
sea-cliff-hotel-234407.jpg
istockphoto-1042071160-640x640.jpg
istockphoto-1042074240-640x640.jpg
stock-photo-dar-es-salaam-aerial-buildings-650331322.jpg
 
Atakwambia Kitengela sio Nairobi, alafu huyo huyo atakwambia Nairobi ni 696 sq. Km pekee.😂
Akili yake si nzuri. Na Sahi industries zimepiga foleni Mombasa road hadi Kajiado, pamoja na Universities. 3years to come itashikana Nairobi hadi Kajiado, Machakos, Limuru, Thika, Ngong......
 
Sasa eti district 3 kwenye picha. Hajui hata hizo tatu si quater ya NAIROBI. Nairobi ni kutoka Thika hadi Ngong. Kikuyu hadi kitengela. Diameter ya over 60 Km

So wanaposema city area nairobi 696km sq ni waongo na je yale mapori yaliyo ndani ya city????? Umefkiri hvo 😂😂😂😂 yani nairobi area ya mapori ni kubwa mara mbili ya sehemu iliojengwa unakubaliana na mm sawa
 
Mimi mwenyewe si muelewi. Ameona 123 zake, na Dar Slum tuna picha zimeonyesha nzima

Picha inayoonesha dunia nzima hua anaona picha za buildings😂😂😂😂 kisa upper hill westland na CBd kukaa kwenye picha moja sasa mushaanza kutafuta njia ya kutokea eti dunia hukaa kwenye picha moja😂😂😂
 
So wanaposema city area nairobi 696km sq ni waongo na je yale mapori yaliyo ndani ya city????? Umefkiri hvo 😂😂😂😂 yani nairobi area ya mapori ni kubwa mara mbili ya sehemu iliojengwa unakubaliana na mm sawa
Pori!? Yaani we bwana una akili!?
 
Akili yake si nzuri. Na Sahi industries zimepiga foleni Mombasa road hadi Kajiado, pamoja na Universities. 3years to come itashikana Nairobi hadi Kajiado, Machakos, Limuru, Thika, Ngong......
Haitashika kwasababu kwenye 696km sq za nairobi 400km sq ni mapori 😂😂😂😂
 
Toa maoni kwa hii picha sababu wewe ndio mtu peke ana akili hapo Tanzania.....hii battle ishe au iendele?View attachment 962601
Credit goes to mfotoaji, kwann battle iishe?we want to know more abt Nbo ,infact mm hua kuna mda hata sikumbuk kuhusu battle napata faraja tu kuona midude ya pande zote mbili...I love this topic mno...na pendelea iendelee
 
Tukipost picha kali za Bongo hamuongei lol mtakufa me nyongo
 
Back
Top Bottom