Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenye alipiga hii picha ni noma
tapatalk_1544369768416.jpeg
 
Westland peke yake kwa hii picha inatoshana na Dar slum yao..... Nairobi iko ligi soo kweli
tapatalk_1544369768416.jpeg
 
Onesha slum hapa😂😂😂👇👇👇 utafurahi na nafsi usifkiri mzungu mjinga😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇 ukipata slum hapo nitag na hapo angalia umbali wa picha ilipopigwa mpaka mawingu yanaonekana hahahhaView attachment 961875
Wanyooshe hao. Kila siku ni kutukana wengine kua hawajasoma na ilhali hawajui hata kusoma picha, wao nikung'ang'ania vipicha wanavovijua wao
 
Wanyooshe hao. Kila siku ni kutukana wengine kua hawajasoma na ilhali hawajui hata kusoma picha, wao nikung'ang'ania vipicha wanavovijua wao
Yani hawa ni wajinga picha inapigwa umbali mrefu wanakwambia slum yaki kwa vile wao wamezoea kibera wanahisi kila sehemu kuna kibera😂😂😂😂😂
 
In fact Old cbd ina buildings tatu pekee kwa..... Anniversary towers,view park towers na Nyayo house tower.......westy nayo imepigwa kwanzia delta towers hadi kwenye avic iko na bado haija cover upande church road kwenye le'mac,sanlaam,nova,Abc na zingine ziko
tapatalk_1544369768416.jpeg
 
Back
Top Bottom