Ahahahha nairobi of 2018 sasa fananisha kutumia akili yakoukiskia kichwa kinauma hii hapa
View attachment 961905
But nachoona na uppehill imo ndani na CBD imo ndani😂😂😂👏👏👏👏👏 one pic is enoughWestland peke yake kwa hii picha inatoshana na Dar slum yao..... Nairobi iko ligi soo kweliView attachment 961912
Dar iache tu kaka utaugua bure 😂😂😂 no one will help u then👏👏👏👏Tafuta kamba ujinyonge buda hautawai win argument na owongo...yani leo umeshindwa hadi unainsist kwa uwongo
Hapa ata Jo'burg hafui dafuWestland peke yake kwa hii picha inatoshana na Dar slum yao..... Nairobi iko ligi soo kweliView attachment 961912
Wanyooshe hao. Kila siku ni kutukana wengine kua hawajasoma na ilhali hawajui hata kusoma picha, wao nikung'ang'ania vipicha wanavovijua waoOnesha slum hapa😂😂😂👇👇👇 utafurahi na nafsi usifkiri mzungu mjinga😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇 ukipata slum hapo nitag na hapo angalia umbali wa picha ilipopigwa mpaka mawingu yanaonekana hahahhaView attachment 961875
Nyerere aliita London of Africa...Westland peke yake kwa hii picha inatoshana na Dar slum yao..... Nairobi iko ligi soo kweliView attachment 961912
Yani hawa ni wajinga picha inapigwa umbali mrefu wanakwambia slum yaki kwa vile wao wamezoea kibera wanahisi kila sehemu kuna kibera😂😂😂😂😂Wanyooshe hao. Kila siku ni kutukana wengine kua hawajasoma na ilhali hawajui hata kusoma picha, wao nikung'ang'ania vipicha wanavovijua wao
Nyerere aliita London of Africa...
20km from cbdYani hawa ni wajinga picha inapigwa umbali mrefu wanakwambia slum yaki kwa vile wao wamezoea kibera wanahisi kila sehemu kuna kibera![]()


So unakataa au hutaki sijakuelewa????






😀😀😀Yani hawa ni wajinga picha inapigwa umbali mrefu wanakwambia slum yaki kwa vile wao wamezoea kibera wanahisi kila sehemu kuna kibera😂😂😂😂😂
Ndio hio wameiona sasa.....lakini Nairobi ni kubwa budaaNyerere aliita London of Africa...




