Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtakesha hapa lakini hamtawahi kutufikia kimaendeleo.......jamii forum won't cow the MIGHTY NAIROBI and kenya at large
 
Dar sasa Slum itauguza nani nyumba tatu za blue na moja yenye iko slum itatishia nani ..wewe ndio haulali 24/7 uko hapa na kama hauko hapa unasoma News ya Kenya

Eti enhhh ugua mos mos😂😂😂😂👏👏
 
Soko kubwa la kisasa la mwanjela mbeya 👇👇👇👇👇👇
5E05EE1B-4AC6-4056-8B58-CE331BBD2CD5.jpeg
D8A2789A-A05B-475C-A743-46171BD1ED3E.jpeg
E068B3E3-BDCB-47A6-8CFC-710C135224A5.jpeg
04E143E8-7415-4AEE-A160-B6003417C73E.jpeg
32D8BF0F-3B1A-43D1-879D-A002B69A7829.jpeg
 
Dar sasa Slum itauguza nani nyumba tatu za blue na moja yenye iko slum itatishia nani ..wewe ndio haulali 24/7 uko hapa na kama hauko hapa unasoma News ya Kenya
Acha povu we budaa, facts hii hapa: Top 10 Most Beautiful Cities In Africa | Africa Facts
na mnajua ukweli kabisa ila mnajitoa ufahamu na ndio maana wengine tunakaa kimya coz hoja zenu kaa zimetoka kwenye vichwa vya mbuzi. mnaleta picha za kitambo tena bila sources na mnashupaa nazo kwelikweli, na sio mara ya kwanza tunawakumbusha kila mara mnarudia ubishi wenu uleule usio na mashiko. Saa zingine tunawaacha tu mpige kelele kwakua tunajua mtu anawakilishwa na mbuga as a capital city ni sawa na mnyama mwengine tu kama nyumbu, ngiri, nyani n.k na ntaendelea kuwafananisha na hao wanyama mpaka pale mtakapokua mnaleta facts na kuacha kushupalia uongo kaa kondoo anaepambana kupata njia kwenye ukuta
 
Acha povu we budaa, facts hii hapa: Top 10 Most Beautiful Cities In Africa | Africa Facts
na mnajua ukweli kabisa ila mnajitoa ufahamu na ndio maana wengine tunakaa kimya coz hoja zenu kaa zimetoka kwenye vichwa vya mbuzi. mnaleta picha za kitambo tena bila sources na mnashupaa nazo kwelikweli, na sio mara ya kwanza tunawakumbusha kila mara mnarudia ubishi wenu uleule usio na mashiko. Saa zingine tunawaacha tu mpige kelele kwakua tunajua mtu anawakilishwa na mbuga as a capital city ni sawa na mnyama mwengine tu kama nyumbu, ngiri, nyani n.k na ntaendelea kuwafananisha na hao wanyama mpaka pale mtakapokua mnaleta facts na kuacha kushupalia uongo kaa kondoo anaepambana kupata njia kwenye ukuta
Kuna mwengine alijua tanzania hakuna magari mazuri ya polisi nimemyoosha mpaka kakimbia 😂😂😂😂😂
 
Acha povu we budaa, facts hii hapa: Top 10 Most Beautiful Cities In Africa | Africa Facts
na mnajua ukweli kabisa ila mnajitoa ufahamu na ndio maana wengine tunakaa kimya coz hoja zenu kaa zimetoka kwenye vichwa vya mbuzi. mnaleta picha za kitambo tena bila sources na mnashupaa nazo kwelikweli, na sio mara ya kwanza tunawakumbusha kila mara mnarudia ubishi wenu uleule usio na mashiko. Saa zingine tunawaacha tu mpige kelele kwakua tunajua mtu anawakilishwa na mbuga as a capital city ni sawa na mnyama mwengine tu kama nyumbu, ngiri, nyani n.k na ntaendelea kuwafananisha na hao wanyama mpaka pale mtakapokua mnaleta facts na kuacha kushupalia uongo kaa kondoo anaepambana kupata njia kwenye ukuta
kwani huna macho huoni kama hizo ni slums
dar.jpeg
 
Kuna mwengine alijua tanzania hakuna magari mazuri ya polisi nimemyoosha mpaka kakimbia 😂😂😂😂😂
😀😀😀
Sure hawa jamaa wanalazimisha wenzao waonekane ovyo. Na ndio wanaoongoza kututangazia ubaya duniani kama yule reporter wao alienda kumleta reporter mzungu ili duniani tuonekane tuna matatizo wakati wao ni migogoro ya kikabila kila mara. Utakuata youtube na mitandao ya kijamii wakiandika ubaya kuhusu Tanzania. Trust me hakuna anaetufanya tuonekane hovyo duniani zaidi ya wakenya na Mungu si athmani bado sifa yetu haiharibiki. Sisi tungekua tunatengeneza takwimu na habari kuitangaza kenya kama wwanavotufanyia haki ya nani wangetia huruma. Ila nawaahidi wakenya kuwa hakuna jambo lisilokua na mwisho
 
Back
Top Bottom