Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umepata habari kua fastjet sasa inamililiwa na watanzania
Mbna mambo madogo hayo...yani ndio mnaanza kumiliki 2018 unakuja kujipiga kifua...ona huyu mjinga...

KQ hebu chukua shares fastjet mwisho uimiliki
 
Mbna mambo madogo hayo...yani ndio mnaanza kumiliki 2018 unakuja kujipiga kifua...ona huyu mjinga...

KQ hebu chukua shares fastjet mwisho uimiliki
Ndege za kulease mukodishe kwa wanaume museme zenu siku ukipata official source kua kq imenunua ndege zake nitag just simple otherwise endeleeni kutumikieni loss😂😂😂😂😂
 
Wacha kujifaya zuzu nasema hii nimepost hapo juu picha alafu ukinionyesha nahama huu uzi leo
Kila kitu kinaonekana hapo fala wewe inamaana huoni au👇👇👇👇👇
E5355630-15DA-4603-A5A5-797168A2CAF9.jpeg
 
Mungekua na maisha mazuri musingekua na slums zinazotishia dunia acha kujidanganya ndugu😂😂😂😂😂
Acha zako slums tunazo lakini tumeshinda tz kwa quality of life ama unalink ambayo inapinga hyo kenya has better quality of life than tz fullstop
 
Acha zako slums tunazo lakini tumeshinda tz kwa quality of life ama unalink ambayo inapinga hyo kenya has better quality of life than tz fullstop

Niambie tu ukweli maisha gani mazuri mulionayo ikiwa 60% ya nairobi population iko kibera what about other slums??? 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom