Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huna point leta link ya worldbank ktn huwa inameasure poverty rate ama tz azam tv huwa inameasure poverty rate leta link unataka niamini tweet unakichaa leta link kenya poverty rate ni 26% kama unalink ya imf ama worldbank inapinga hyo leta nione kama huna kimya

Nimekuuliza swali huna imani na KTN nijibu plz 😂😂😂😂😂

Na hawa pia huwaamini😂😂👇👇👇👇



Niletee official link kua kenya below poverty line 26%😀😀😀😀😀
 
Mkenya ni mtu mwenye roho mbaya sana na siku zote hapendi kuona nchi yoyote afrika mashariki ikiinuka pamoja baada ya uhuru kujitenga na kuacha kusaidia nchi za africa walikua na opportunity ya kujenga nchi yao zaidi ya miaka 40 sasa waulize wamejenga nn utalia machozi😂😂😂😂

Mtu anaeendelea kwa fitna mwisho wake mbaya sana, sio tu Maandiko matakatifu yameweka bayana bali hata nature ndivyo ilivyo. Afadhali utumie mabavu kuwaminya wengine kuliko kutumia mdomo
 
Ahahahhaha soma basi acha hasira😂😂👇👇👇👇👇👇👇

Tanzania tycoons buy Kenya’s Equity Bank shares worth Sh7.7bn
haha iyo ni 1% of ownership..kwani unaona kama ni big deal ...buda ata uanzishe story mob hatutasahau kuwa hii ni dar 2018
dar.jpeg
 
Nimekuuliza swali huna imani na KTN nijibu plz 😂😂😂😂😂

Na hawa pia huwaamini😂😂👇👇👇👇



Niletee official link kua kenya below poverty line 26%😀😀😀😀😀


Sasa hii KTN ndio inayosema ukweli halisi kwa kua ni Wakenya haohao waliosomea hiyo kazi na wakapewa dhamana na nchi yao watoe habari na ndio wameweka wazi maisha wanayoishi leo hii wanataka kupinga taarifa walizozitoa wenyewe wanataka kutumia za waliozipata kwa kuuliza maswali watu wachache
 
Sasa hii KTN ndio inayosema ukweli halisi kwa kua ni Wakenya haohao waliosomea hiyo kazi na wakapewa dhamana na nchi yao watoe habari na ndio wameweka wazi maisha wanayoishi leo hii wanataka kupinga taarifa walizozitoa wenyewe wanataka kutumia za waliozipata kwa kuuliza maswali watu wachache
Anakataa sijui hana imani na KTN 😂😂😂😂😂 yani hawa watu ukiwabana vzr anaweza akajikataa hata yeye mwenyewe
 
Alhakhakahaka 💉💉💉💉 imeingia vzr
Nafurahi sana mtuletee pesa it shows youre confident with our investments...yani wewe ni mjinga hata huwezi elewa ..ntakasirika sana Kirubi aende kubuy shares London instead ya Nairobi
 
kojoa na ulale kaka utajinyinga bure kwa ukweli kua izo ni slums

Budaa mtaumia sana na roho zenu kwatu. mradi wa sgr ya mji wa DSM unaanza punde na utaenda sambambamba na DOM. Mtachonga sana ila ujue kuamka kwa Uganda, Sudan na wengineo cha moto mtakiona. Sisi hatumtegemei mtu na taratibu akili yako itaanza kuscan na kuelewa kua majigambo hayana maana
 
kwani KTN inafanya research?..leta report ya KNBS ama Wrld bank
So kwa akili yako inaeza kupost habari kama hii twitter alaf waache tu, twitter ukipost habari za uongo wana ban hio habari😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇musitafute mchawi au njia ya kutokea pamabaneni na hali zenu

 
Nafurahi sana mtuletee pesa it shows youre confident with our investments...yani wewe ni mjinga hata huwezi elewa ..ntakasirika sana Kirubi aende kubuy shares London instead ya Nairobi

So mlipoekeza mliekeza bure ???😂😂😂😂😂😂 investment mulifanya bure???
 
Budaa mtaumia sana na roho zenu kwatu. mradi wa sgr ya mji wa DSM unaanza punde na utaenda sambambamba na DOM. Mtachonga sana ila ujue kuamka kwa Uganda, Sudan na wengineo cha moto mtakiona. Sisi hatumtegemei mtu na taratibu akili yako itaanza kusacan na kuelewa kua majigambo hayana maana
Kojoa Ulale
 
So mlipoekeza mliekeza bure ???😂😂😂😂😂😂 investment mulifanya bure???
Huelewi maneno ya shares ..School drop out it seems...I cant teach u that..Its Advantage on our side for them to pour there Cash on NSE
 
Huelewi maneno ya shares ..School drop out it seems...I cant teach u that..Its Advantage on our side for them to pour there Cash on NSE
So ulitaka tuwazuie? hatuna roho ya ujinga namna hiyo, tunaruhusu mtu yeyote kufanya biashara as long as kodi analipa. mbona wasanii wetu wanakuja kwenu wanafanya shoo wanakusanya Cash wanaleta TZ?
 
So ulitaka tuwazuie? hatuna roho ya ujinga namna hiyo, tunaruhusu mtu yeyote kufanya biashara as long as kodi analipa. mbona wasanii wetu wanakuja kwenu wanafanya shoo wanakusanya Cash wanaleta TZ?
Just imagine mtu anakuletea wimbo uliotoka kinywani mwake unampa cash sembuse huyo alienihifadhia pesa nkamlipa? au alienipa pesa nkafanyia biashara nkamrudishia na riba?
 
Huelewi maneno ya shares ..School drop out it seems...I cant teach u that..Its Advantage on our side for them to pour there Cash on NSE
Ahahaha nimekuuliza swali dogo tu investment mulifanya bure ????
 
So mlipoekeza mliekeza bure ???😂😂😂😂😂😂 investment mulifanya bure???
Wamesahau kwamba wanalipa kodi ya jengo na ya biashara. Sisi tukienda tunachukua demu, tunamgonga, anatutangaza, tunafanya show, tunakusanya cash tunaleta TZ
 
So ulitaka tuwazuie? hatuna roho ya ujinga namna hiyo, tunaruhusu mtu yeyote kufanya biashara as long as kodi analipa. mbona wasanii wetu wanakuja kwenu wanafanya shoo wanakusanya Cash wanaleta TZ?

Tena wasanii hao hao wameanza kujenga na viwanda kabisa 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom