sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Nairobi kwa design na modernity ni habari nyingine.....Good man towerIt plaza
View attachment 953063
Nairobi kwa design na modernity ni habari nyingine.....Good man towerIt plaza
View attachment 953063
Mwalimu Sacco towerIt plaza
View attachment 953063
You cant be serious, concrete hilo full matofali old fashioned building ndio unataka kuifananisha na al hatmy, hebu ongea vya maana kijana.Hizo tower mbili tofauti ni nnView attachment 952990View attachment 952993
Afadhali ungesoma post yangu ya hapo mbeleni ungeelewa nilichomaanishaYou cant be serious, concrete hilo full matofali old fashioned building ndio unataka kuifananisha na al hatmy, hebu ongea vya maana kijana.
Westland ni CBD😂😂😂👏👏👏CBD number threeView attachment 952939
Renders 😂😂😂👏👏👏👏👏Towers zinazidi Kua proposed kila siku hapa Nairobi...50 and 27 flrView attachment 953305
Hahahahaaa....watapata tabu Sana hii roundyView attachment 953307View attachment 953308
Mwaka huu watasota sanakwenye utawala wa jpm
Sio render au sio😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👇👇👇👇👇👇 munatamani kuhamisha kutoka kwenye picha nakubandika sehemu husika wakat render ziliostack 5yrs inakwenda mumekaaa kimyaHiyo sio render?...jinga wewe
Hii ni Nairobi na wala sio hako katown kenu......ndio hiyo execution inaendelea na washaweka render kwa project ya 88 NairobiSio render au siomunatamani kuhamisha kutoka kwenye picha nakubandika sehemu husika wakat render ziliostack 5yrs inakwenda mumekaaa kimya
Proposed na hamujengi????wapi pinacle?? Wapi montave?? Wapi tatu city??? Wapi konza??? Wapi nairobi 88???
Kwa jpm mutapata tabu sanaView attachment 953330View attachment 953331
Wanaitwa mujahedeen allah akbar...!!Basi tulizeni mshono...ndo manake congo mmapigwa tu kila kuchao kw sifa za kijinga...we wachezea waasi...
Eti mliikomboa africa...toeni al_shabab na boko haram..mnafikiria hawa jamaa hutumia mapanga eee!!nadhani mziki wa ADF kw sasa mnausikizia