komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Basi tulizeni mshono...ndo manake congo mmapigwa tu kila kuchao kw sifa za kijinga...we wachezea waasi...Mambo hayo hayaendi kimhemko na kukurupuka nyie pambaneni na hali zenu,hao wanaotwa al shabaaaab mujahedeen allah akbaaaar...
Once ukianzisha ugomvi nao haushi leo..
Eti mliikomboa africa...toeni al_shabab na boko haram..mnafikiria hawa jamaa hutumia mapanga eee!!nadhani mziki wa ADF kw sasa mnausikizia

