Hii ni Nairobi na wala sio hako katown kenu......ndio hiyo execution inaendelea na washaweka render kwa project ya 88 NairobiView attachment 953335View attachment 953337
Wewe Kula nyingine wacha utotoHata pinnacle na montave zilikua hvo hvo mulibandika mabango leo zikwapi??? Pinnacle imebakia shimo la mavi ya binaadamu, ndio maana nakwambi hio bado ni render![]()
Thanks for renders hehehhe kwa renders tu hamujambo๐๐๐๐๐๐Wewe Kula nyingine wacha utotoView attachment 953343View attachment 953344
Siku Dar slum itapata tower proposed kuanzia sasa hadi 2030 unitagThanks for renders hehehhe kwa renders tu hamujambo
Ngoma imekua ngumu kila project mukitaka kuanza pesa hakuna![]()
Ukiwa na proposed lazma uwe na pesa ya kujenga vinginevo utaishia kula ugali na picha ya samaki๐๐๐๐๐๐Siku Dar slum itapata tower proposed kuanzia sasa hadi 2030 unitag
Ikifika hapo sisi nadhani tutakua na zaidi ya fifty kama hizoView attachment 953350View attachment 953352View attachment 953353View attachment 953354
Nyinyi mlijenga tower tatu pesa ikaisha sasa tazameni muone mambo yanavyo endaUkiwa na proposed lazma uwe na pesa ya kujenga vinginevo utaishia kula ugali na picha ya samaki![]()
Aaahh mfugale,hii ndo flyover bwana sio kama kile kitakataka cha Nakuru,jamaa wameweka huku tofali na kule tofali halafu imeisha eti flyover shiiitTazara flyover๐๐๐๐๐๐
View attachment 952810
Barala ya kuchafua servers mbina usiwekee hii moja ambayo inamalizia kila kitu





Sasa mbona over 30 na over 20 munakimbia heheheh ๐๐๐๐๐Nyinyi mlijenga tower tatu pesa ikaisha sasa tazameni muone mambo yanavyo enda
Aaahh mfugale,hii ndo flyover bwana sio kama kile kitakataka cha Nakuru,jamaa wameweka huku tofali na kule tofali halafu imeisha eti flyover shiiit
Hawan pesa ya kujenga wamebakia kubadilisha majina ya projects kutoka hass kwenda pinnacle๐๐๐๐๐hiv imefikia wapi hii ishu? waliipigia kelele sana hii ๐คฃ๐คฃ๐คฃ