Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zanzibar airport terminal 2๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
14AFC6D7-89A7-451E-85A1-2B750AAF8CCF.jpeg
4494FC84-6955-4C8C-A56A-FAD16F52300F.jpeg
0B805746-D4E7-4F0B-B62B-AFAEC435E221.jpeg
E0E647E2-82CE-434C-B6AF-8F75C72DA5A3.jpeg
 
Hii ni Nairobi na wala sio hako katown kenu......ndio hiyo execution inaendelea na washaweka render kwa project ya 88 NairobiView attachment 953335View attachment 953337

Hata pinnacle na montave zilikua hvo hvo mulibandika mabango leo zikwapi??? Pinnacle imebakia shimo la mavi ya binaadamu, ndio maana nakwambi hio bado ni render๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Hata pinnacle na montave zilikua hvo hvo mulibandika mabango leo zikwapi??? Pinnacle imebakia shimo la mavi ya binaadamu, ndio maana nakwambi hio bado ni render
Wewe Kula nyingine wacha utoto
tapatalk_1543754818990.jpeg
tapatalk_1543754842372.jpeg
 
Ikifika hapo sisi nadhani tutakua na zaidi ya fifty kama hizo
tapatalk_1543755654158.jpeg
tapatalk_1543755668460.jpeg
tapatalk_1543731706935.jpeg
tapatalk_1543731561649.jpeg
 
Siku Dar slum itapata tower proposed kuanzia sasa hadi 2030 unitag
Ukiwa na proposed lazma uwe na pesa ya kujenga vinginevo utaishia kula ugali na picha ya samaki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sasa ni kumaanisha towers over 30 flr=Nairobi 10 towers minus pinnacle 2,montave 2,Hazina 1,88 Nairobi 1,Akili 1.....Dar 8 towers
 
Current towers over 30 flr in both cities.....(Nairobi)Avic 6 towers,Britam ,Uap ,prisim , Times tower......Dar) Tpa,pspf 2,Rita,Ppf,Mzizima 2,Mnf 1
 
Aaahh mfugale,hii ndo flyover bwana sio kama kile kitakataka cha Nakuru,jamaa wameweka huku tofali na kule tofali halafu imeisha eti flyover shiiit

Zile ni za bei chee wanapanga matofali wanakwambia flyover๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
hiv imefikia wapi hii ishu? waliipigia kelele sana hii ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hawan pesa ya kujenga wamebakia kubadilisha majina ya projects kutoka hass kwenda pinnacle๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom