Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kitu kinachodhalilisha utu wa binadamu au heshima ya nchi, kama kukosa chakula Mara kwa Mara hadi kulazimika kupewa msaada. Tangu Kenya ijipatie Uhuru wake 1963, haijawahi kujitosheleza kwa chakula, kumekua na kubadilika kutoka mwaka hadi mwaka, ikitokea mwaka huu kuna chakula, mwaka unaofuata lazima mtahitaji chakula cha msaada.
Vizuri sana unapoint hapo lkni huu mwaka hatujapokea msaada wa chakula halafu angalia global hunger index 2018 uone nani ako na njaa zaidi Kati ya kenya na tz
 
Lol. A country with everything at their disposal still lagging behind. Witchcraft is real.
The country which got all support from western countries for many years but you still don't have food. Your colleagues who got the same support from western countries are, South Korea, Singapore, Israel and Malaysia, look at them now.
 
The country which got all support from western countries for many years but you still don't have food. Your colleagues who got the same support from western countries are, South Korea, Singapore, Israel and Malaysia, look at them now.
Which support are you talking about tz a country which has all the mineral wealth has remained one of the poorest in the world when it is counterparts like Botswana southafrica na Namibia are upper middle income
 
Vizuri sana unapoint hapo lkni huu mwaka hatujapokea msaada wa chakula halafu angalia global hunger index 2018 uone nani ako na njaa zaidi Kati ya kenya na tz
Kenya hamna food security, yaani Leo mnaweza kuwa na chakula mingi sana, kesho tu watu wanakufa njaa, hamna mipango endelevu ya upatikanaji wa chakula.

Kwa ufupi ninyi Kenya nchi yenu ni nchi ya hovyo sana, ninyi mumeamua kujifanya private sector kuwa very strong zaidi ya serikali yenu, matokeo yake private sector ina manipulate biashara hata katika upatikanaji wa human basic needs for their own benefits.
 
The country which got all support from western countries for many years but you still don't have food. Your colleagues who got the same support from western countries are, South Korea, Singapore, Israel and Malaysia, look at them now.
Tanzania receives more donor funding from western governments than kenya plus your mineral wealth you should be developed now
 
Which support are you talking about tz a country which has all the mineral wealth has remained one of the poorest in the world when it is counterparts like Botswana southafrica na Namibia are upper middle income
You got all support from western countries during era of cold war, you received capital, technology, and direct investments, and markets for your goods and agriculture produces. We were under sanctions from western countries.
 
Kenya hamna food security, yaani Leo mnaweza kuwa na chakula mingi sana, kesho tu watu wanakufa njaa, hamna mipango endelevu ya upatikanaji wa chakula.

Kwa ufupi ninyi Kenya nchi yenu ni nchi ya hovyo sana, ninyi mumeamua kujifanya private sector kuwa very strong zaidi ya serikali yenu, matokeo yake private sector ina manipulate biashara hata katika upatikanaji wa human basic needs for their own benefits.
Wana scandal ya maize inanuka
 
Tanzania receives more donor funding from western governments than kenya plus your mineral wealth you should be developed now
Who told you a country can develop through donation, only through investment, technical and technology support, and investments, that is exactly what Kenya got from western countries, but because of your stupidity, you failed to utilize them effectively while your colleagues did.
 
Kenya hamna food security, yaani Leo mnaweza kuwa na chakula mingi sana, kesho tu watu wanakufa njaa, hamna mipango endelevu ya upatikanaji wa chakula.

Kwa ufupi ninyi Kenya nchi yenu ni nchi ya hovyo sana, ninyi mumeamua kujifanya private sector kuwa very strong zaidi ya serikali yenu, matokeo yake private sector ina manipulate biashara hata katika upatikanaji wa human basic needs for their own benefits.
Nafikiri unaelewa kenya ni 89% arid only 11% is good for agriculture na huu mwaka hatuna shida any ya chakula private sector is important for a country economic growth ndio tuko na middle class strong
 
Who told you a country can develop through donation, only through investment, technical and technology support, and investments, that is exactly what Kenya got from western countries, but because of your stupidity, you failed to utilize them effectively while your colleagues did.
Tell me more about those investments in kenya so that i learn from you tz has all mineral wealth you could have also utilized them effectively like your colleagues did
 
Nafikiri unaelewa kenya ni 89% arid only 11% is good for agriculture na huu mwaka hatuna shida any ya chakula private sector is important for a country economic growth ndio tuko na middle class strong
Acha ujinga wenu ninyi, private sector must be regulated, other wise it can manipulate the market. Serikali lazima iwe na full control ya bidhaa za msingi na muhimu katika maisha ya wananchi, kama afya(Obama care), elimu, upatikanaji wa chakula cha uhakika kwa bei nafuu.

Ninarudia tena, ninyi serikali yenu haina mipango endelevu, kama mwaka huu kuna chakula cha kutosha, tayari cartels wameanza kuivuruga serikali yenu ambayo is very weak, ili kuhakikisha kwamba next year hakuna tena chakula ili waweze kuagiza chakula toka nje ya nchi.
 
Tell me more about those investments in kenya so that i learn from you tz has all mineral wealth you could have also utilized them effectively like your colleagues did
Wakati wa cold war, hata kama tungechimba hizo minerals, tungeuza wapi?, kumbuka wanunuzi wakubwa walikua ni western countries ambazo hazikutaka kufanya biashara na socialists countries, hata machines za kuchimba madini, technology na kila kitu hatukupata.

Kumbuka madini mengi ndio yanagundulika hivi sasa ndio sababu unaona kasi ya uchumi wetu inakwenda Mara mbili zaidi ya Kenya.
 
You should be concerned wya country and leave Kenya alone. We are in the process of ensuring that we have food security whereas your country doesn't have it as we speak .
Haya ndio maneno yenu kila mwaka tangu 1963 "We are in the process of ensuring that we have food security", 55 yrs now the same narrative, how many years do you need to complete that process?
 
Back
Top Bottom