joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Ahead for hunger, poverty, corruption, tribalism, slums, unemployment, insecurity, terrorism, nepotism, land injustice,A failed state which is ahead of you in everything.

Ahead for hunger, poverty, corruption, tribalism, slums, unemployment, insecurity, terrorism, nepotism, land injustice,A failed state which is ahead of you in everything.

Always a country exports what it produces more than it needs, good example Kenya exports flowers, tea, milk, crime, corruption, terrorism and thievesHahahahaaaaa.You are exporting rice while your citizens are starving?

But is a failed stateKenya is not an LDC.

According to Gikuyu, yes.It's not yet.
Jenerose hajawahi andika kitu cha maana. Muda wote ni distraction na derailing. Umempa comptetive advantage waliokuwa nayo kwa more than 50 yrs bado haelewi . Politic za nvhi yake regional na kimataifa inaonekana hajui. Hajui kwa nini yupo alipo. Nalog off.According to Gikuyu, yes.
Bado ni mtoto mdogo sana, acha tumlee hadi atakomaa.Jenerose hajawahi andika kitu cha maana. Muda wote ni distraction na derailing. Umempa comptetive advantage waliokuwa nayo kwa more than 50 yrs bado haelewi . Politic za nvhi yake regional na kimataifa inaonekana hajui. Hajui kwa nini yupo alipo. Nalog off.
Tanzania ni kubaya my DearHahahahaaaaa.You are exporting rice while your citizens are starving?
huhuhuhu.acha ninyamaze.Tanzania ni kubaya my Dear
78% of Tanzanians on the brink of starvation. 35% of Tanzanian kids are malnourished. - JamiiForums
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials | Reuters
Why Magufuli has banned relief food for ‘starving’ Tanzanians
UN World Food Programme
Tanzania: Everyone is scared - African Arguments


Tupo 2018 November, leta penye inaonyesha Kenya ni Lower middle income, hapana kuleta taarifa ya 2013.
Maindi ni mengi sana ndio maana kuna scandalWana scandal ya maize inanuka
tatizo unaangalia kwa jicho la kawaida. Sovereignity ya nchi yenu iko wapi? They contorl you now. Watafanya nchi yenu kuwa dumping ground ya goods zao, Wataleta more chinese citizens kufanya kazi kenya, halafu nyie mnafaidika na nini?
Ambia ndugu yako pia alete penye kenya iMepokea msaada was chakula 2018 chizi ni ww na ukoo wako kenya has high quality of life than tzHuyo mtaenda naye kama mtoto maana hatoi hoja kwa evidence ni maneno tu,,,unaambiwa ukibishana na chizi ni shida....
![]()
Maua ni mengi, mbona hakuna scandal?, kwasababu hakuna cartels kaika flowers, wazungu wameshikilia hiyo sectorMaindi ni mengi sana ndio maana kuna scandal
Tz ishawahi kuwa under sanctions kweli ama unanichocha tuWakati wa cold war, hata kama tungechimba hizo minerals, tungeuza wapi?, kumbuka wanunuzi wakubwa walikua ni western countries ambazo hazikutaka kufanya biashara na socialists countries, hata machines za kuchimba madini, technology na kila kitu hatukupata.
Kumbuka madini mengi ndio yanagundulika hivi sasa ndio sababu unaona kasi ya uchumi wetu inakwenda Mara mbili zaidi ya Kenya.



huyo ni mwehu sana
Cheki hiyo site budaa HDI sio kitu cha kuringia namna hiyo hata norway angeanza kutamba mbele ya usa.
View attachment 946154
Tafuteni namna ya kuwasaidia wakenya wenzenu wanaopata njaa na kukosa maji safi haya majigambo hayasaidii.
Halafu wanatuandika kazi tunakuwa na middle class kubwa na high quality of life kuliko tz hyo deal c mbayaMaua ni mengi, mbona hakuna scandal?, kwasababu hakuna cartels kaika flowers, wazungu wameshikilia hiyo sector


nikikuita chizi nitakosea?
Vizuri sana unapoint hapo lkni huu mwaka hatujapokea msaada wa chakula halafu angalia global hunger index 2018 uone nani ako na njaa zaidi Kati ya kenya na tz
Pamoja na kuandikwa kazi na wazungu, bado mnaongoza kwa unemployment rate kubwa AfricaHalafu wanatuandika kazi tunakuwa na middle class kubwa na high quality of life kuliko tz hyo deal c mbaya