Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No answer my question stop beating around the bush. Najua hii topic itatokomea after today's embarrassment. Go bring data ya population living below $1.90 dollars a day from any source hata ya ccm uone aibu....
Wewe dunia hii haitoi data kwa ajili ya kufurahisha Jubilee, WB inatoa data inazopenda kutokana na umuhimu wake, wewe kama unaona hizo zako ndio muhimu, basi chapisha ripoti zako, ila kwa sasa report iliyotolewa na WB ni Overview
Ninajua inaumia,lakini huna jinsi, lazima ukubaliane na ripoti hii.
 
PPP ya Nigeria imeshinda south Africa......
Stop being crazy.
Why do you avoid statistics like HDI or Level of development?mmmhhh......china has a higher PPP than United States in 2018 and India has a better PPP than Germany.....that's the most misleading measurement ever invented coz in some poorer countries goods are generally cheaper....a loaf of bread in Australia goes at 200 bob but in kenya it's 50 bob.......so this is bullshit
HDI ina favor wenye population ndogo na ndio maana kwenye HDI hata sisi = 0.538 tumempita Nigeria = 0.532 ilhali ninyi ni 0.590 | Human Development Reports.
Kama kweli unaitakia mema kenya my friend do not rely on HDI. Angalia ni jinsi gani baadhi ya wakenya wanashindwa kupata clean water na chakula ukilinganisha na TZ. Kuna jirani yangu leo kabatiza mtoto wake wa pili mke wake ni mkenya na ni mke ndie aliemkazania mume watoke nairobi waje Dar es Salaam kutokana na hasara waliokua wameipata. so maisha sasaiv nairobi sio rafiki kwa mtu wa kati na wachini, bisha hapa lakini kubali kimoyomoyo itakusaidia kupambana na hali zinazowasibu
 
HDI ina favor wenye population ndogo na ndio maana kwenye HDI hata sisi = 0.538 tumempita Nigeria = 0.532 ilhali ninyi ni 0.590 | Human Development Reports.
Kama kweli unaitakia mema kenya my friend do not rely on HDI. Angalia ni jinsi gani baadhi ya wakenya wanashindwa kupata clean water na chakula ukilinganisha na TZ. Kuna jirani yangu leo kabatiza mtoto wake wa pili mke wake ni mkenya na ni mke ndie aliemkazania mume watoke nairobi waje Dar es Salaam kutokana na hasara waliokua wameipata. so maisha sasaiv nairobi sio rafiki kwa mtu wa kati na wachini, bisha hapa lakini kubali kimoyomoyo itakusaidia kupambana na hali zinazowasibu
HDI is human development index...........and what's human development index?Why can't you lecture ccm to do those things you are listing over here coz surely kenya is doing better than your country.......or you think hatujawahi tembea tz msee?Our church does a lot of charity work in northern Tanzania and in rural kenya
 
HDI ina favor wenye population ndogo na ndio maana kwenye HDI hata sisi = 0.538 tumempita Nigeria = 0.532 ilhali ninyi ni 0.590 | Human Development Reports.
Kama kweli unaitakia mema kenya my friend do not rely on HDI. Angalia ni jinsi gani baadhi ya wakenya wanashindwa kupata clean water na chakula ukilinganisha na TZ. Kuna jirani yangu leo kabatiza mtoto wake wa pili mke wake ni mkenya na ni mke ndie aliemkazania mume watoke nairobi waje Dar es Salaam kutokana na hasara waliokua wameipata. so maisha sasaiv nairobi sio rafiki kwa mtu wa kati na wachini, bisha hapa lakini kubali kimoyomoyo itakusaidia kupambana na hali zinazowasibu
Nairobi ukitumia akili vizuri you will never regret. Hata kuzungushia wasee lunch by deliveries cbd ni 300 bob na cost on your side is roughly 120 bob .....ukizungushia 300 people you get a profit of 180 × 300 that's 5400 bob in a day ......you get next days stock at 3k bado unabaki na 2400 mark up

2400 x 30 days ni 72000 that's how many millions in tanzania...?I am sure in Dar that person can't fetch such margins because of lower living standards and maybe weaker currency
 
www.researchgate.com
Access-to-Piped-Water-in-Africa-where-Urban-Water-Supply-Is-Provided-at-National-and.jpeg
 
HDI is human development index...........and what's human development index?Why can't you lecture ccm to do those things you are listing over here coz surely kenya is doing better than your country.......or you think hatujawahi tembea tz msee?Our church does a lot of charity work in northern Tanzania and in rural kenya
Cheki hiyo site budaa HDI sio kitu cha kuringia namna hiyo hata norway angeanza kutamba mbele ya usa.
HDI2.png


Tafuteni namna ya kuwasaidia wakenya wenzenu wanaopata njaa na kukosa maji safi haya majigambo hayasaidii.
 

Hiyo ni ya wanaotumia piped water, kwetu sisi hiyo asilimia iliyobaki wanatumia pumped water ndio maana sisi hamna shida ya maji. leta takwimu za maji kwa ujumla chief. Ishu ni kwamba hakuna mTZ anaekunywa maji machafu kama kwenu, lete takwimu zenye mashiko, halafu hiyo source vp umeiweka kiushahidi tu haina hizo data
 
Cheki hiyo site budaa HDI sio kitu cha kuringia namna hiyo hata norway angeanza kutamba mbele ya usa.
View attachment 946154

Tafuteni namna ya kuwasaidia wakenya wenzenu wanaopata njaa na kukosa maji safi haya majigambo hayasaidii.
That list is very ok.....I don't know why you are circling USA.....the best quality of life is in Scandinavian countries
 
Cheki hiyo site budaa HDI sio kitu cha kuringia namna hiyo hata norway angeanza kutamba mbele ya usa.
View attachment 946154

Tafuteni namna ya kuwasaidia wakenya wenzenu wanaopata njaa na kukosa maji safi haya majigambo hayasaidii.
And how comes you are lecturing us and you are worse than us.....are you really ok in your head!!!!
 
Hawa vinyangarika waliacha matusi? Yaani watu wanashindwa kuelewa vitu rahisi kama maandishi ya China anaanza kujiliwaza kwa kutukana watu wasio na hatia

Hivi kilaza ichoboy alielewa kwa nini nchi yao ni LDC? Anabisha kila kitu mpaka vile vitu vinavyoeleweka kirahisi.
Nadhani ninyi mnashindwa kuelewa kwamba, pamoja na pseudo GDP kubwa, lakini bado hamna chakula mnategemea chakula cha msaada. Ninyi ni typical failed state.
 
Nadhani ninyi mnashindwa kuelewa kwamba, pamoja na pseudo GDP kubwa, lakini bado hamna chakula mnategemea chakula cha msaada. Ninyi ni typical failed state.
Hyo ya chakula cha msaada umerudia tena na tena na tena kenya haina shida ya chakula ama kama ww ndio unasikia njaa tuambie tusikie hii failed state ina high quality of life than tz yenye in peaceful stable na tribeless
 
Nadhani ninyi mnashindwa kuelewa kwamba, pamoja na pseudo GDP kubwa, lakini bado hamna chakula mnategemea chakula cha msaada. Ninyi ni typical failed state.
Lol. The glutton. Always talking about food. I've come to realise you people live to eat that's why you go to an extent of slaughtering and devouring your fellow human beings.Kenyans would rather starve to death .
 
Hyo ya chakula cha msaada umerudia tena na tena na tena kenya haina shida ya chakula ama kama ww ndio unasikia njaa tuambie tusikie hii failed state ina high quality of life than tz yenye in peaceful stable na tribeless
Hakuna kitu kinachodhalilisha utu wa binadamu au heshima ya nchi, kama kukosa chakula Mara kwa Mara hadi kulazimika kupewa msaada. Tangu Kenya ijipatie Uhuru wake 1963, haijawahi kujitosheleza kwa chakula, kumekua na kubadilika kutoka mwaka hadi mwaka, ikitokea mwaka huu kuna chakula, mwaka unaofuata lazima mtahitaji chakula cha msaada.
 
Lol. The glutton. Always talking about food. I've come to realise you people live to eat that's why you go to an extent of slaughtering and devouring your fellow human beings.Kenyans would rather starve to death .
What about those who you killed in West gate and thousands other Kenya who are dying daily through government stage managed terror attacks, do you eat them?
 
Back
Top Bottom