KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Shikamoo Bibi, next week nataka nikupeleke Zanzibar upo tayari?Eti ichoboy umecheka kicheko cha maumivu?
GDP ya dar ni ngapi?
Naona render imekuchanganya😂😂😂Ujenzi unaendelea tena kwa kasi. Very soon construction ya flyover nyingine sehemu mbili tofauti inaanza😂😂😂Tuliza mshono😂😂First compare this to Dongo Kundu in Mombasa, Second, we don't deal with renders here![]()
Hiyo render ya ubungo ni utoto mbele ya hii interchange











Naona render imekuchanganyaUjenzi unaendelea tena kwa kasi. Very soon construction ya flyover nyingine sehemu mbili tofauti inaanza
Tuliza mshono
![]()
Tukianza kuleta renders humu si mtatoroka![]()



Pinnacle is a work in progress, its just a matter of timeTumeona renders za pinnacle na hajatoroka mtu,sembuse utumbo wa bata![]()
Pinnacle is a work in progress, its just a matter of time
Tuanzie hapa, hii ni render ama reality?Mbona ulivyo ambiwa ubungo int iko katika progress hujataka kuamini,ukajifariji kwamba ni render???
My poor friend kuna kitu inaitwa creativity na target audience kwa any business venture with an aim to reduce cost at the same time maximise revenue tena hao ni watoto wa High School.Wamechakaa yani hata pesa ya kuingia studio za adabu hawana😂😂😂😂😂😂
sina shaka na ubora wa sauti sol. but kwa sasa game yao inafikia ukingoni. walikuwa kwenya kilele cha ubora 2012-2016. kwa sasa wanajikongoja.
halafu shida ya wakenya huwa hamna program ya ku-groom wanamziki wapya ambao watateka airwave za mziki wa kenya. mna ubinafsi sana.
leo hii nikuulize, hao sauti sol kwa miaka yao yote ya umaarufu, wamemuibua mwanamziki gani mchanga wa kenya?.
sasa njoo kwa diamond platnumz, kumuibua rayvanny, harmonize, mbosso na lavalava.
ukija kwa alikiba sasa hivi ana manage vijana wake wanne wanaounda kiba music band na single yao ni moto wa kuotea mbali.
it's pure fact punch after punch.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dar ukipata gari interior ziko hvo unitag...we unadhani ku pimp gari na uweke screens kila kiti ni tsh million ngapi![]()
![]()
![]()
![]()
toa maelezo we jamaa sio unarusha picha tu.
Maelezo gani unataka hapo? The photo is self explanatory.toa maelezo we jamaa sio unarusha picha tu.
Anarusha picha ili adanganye wasiojua wajue pale ni nairobi😂😂😂😂😂😂😂toa maelezo we jamaa sio unarusha picha tu.
Kumbe unamfahamu na unamfuata Inspector Mwala? Kenyans are famous in Tanzania, mie sijui hata comedian moja wa bongo hebu weka kadhaa niwatambue.
Tuanzie hapa, hii ni render ama reality?View attachment 940990
Ndo maana nkauliza maelezo kwamba ni Kenya hii hii au nyingine maana sijawahi kuiona hii picha humu na kila siku wanarudia mapicha yaeyaleAnarusha picha ili adanganye wasiojua wajue pale ni nairobi😂😂😂😂😂😂😂