Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hyo c jibu na mm nikakuuliza mnapiganie watu vita na hamujengi nchi yenu mnabaki masikini hohehahe

Kwasababu hatukua na roho mbaya kama yenu roho yakibinafsi kinachonishangaza nafasi ya zaidi miaka 40 ilikua muendelee lakini cha kuskitisha hichi hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡huskii aibu hahahahhahahah



ktn (@KTNKenya) | Twitter
 
Na hyo c jibu na mm nikakuuliza mnapiganie watu vita na hamujengi nchi yenu mnabaki masikini hohehahe

Nafasi muliokua nayo miaka 40 lakini mumefanya nini heheheh πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Leleshwa wines beibeee
37700834856_a1ab58df4a_b.jpeg
37040010604_f165112e35_b.jpeg
37078837373_120eb4a11e_b.jpeg
37717456102_a846e15370_b.jpeg
37749248391_32672dfb70_b.jpeg
21466230275_2a4d25a683_b.jpeg
25950843654_131f355c73_b.jpeg
26722168961_09c8425f25_b.jpeg
26529809136_dc0f870d9f_b.jpeg
Leleshwa-Wines-Labels.jpeg
14372440_1107595042629676_7883748950196215210_o.jpeg
46329929_1945498305506008_5722911284739964928_n.jpeg
45476134_1933502396705599_8934082148105715712_o.jpeg
46325591_1941489132573592_2215261062314328064_o.jpeg
 

Attachments

  • 21466230275_2a4d25a683_b.jpeg
    21466230275_2a4d25a683_b.jpeg
    82.7 KB · Views: 27
Na hyo c jibu na mm nikakuuliza mnapiganie watu vita na hamujengi nchi yenu mnabaki masikini hohehahe
Miaka 40 muliokua nayo leo njaa inawapigisha mswaki kila mwaka sasa niambie miaka 40 mulikua munafanya nini????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ kwei mutamulaumu Mungu au bado munatafuta mchawi

 
Na hyo c jibu na mm nikakuuliza mnapiganie watu vita na hamujengi nchi yenu mnabaki masikini hohehahe
Leo huskii aibu kuskia nafasi ya miaka 40 mliokua nayo mumedondokea puaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ failed state

 
Nimekwambia kwa lugha nyingine tanzania imeanza developments within 10 yrs baada ya kuhakikisha nchi zote za africa zimepata uhuru na kama ni minerals ndo sasa zinaanza kutumiaka gas imeanza kutumika haina zaidi ya 3 yrs ndo kwanza tunaanza kutumia minerals sasa bahat mbaya kwenu mumekutana na magu uncle bado ana 7 good yrsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ 3 yrs tu dunia nzima inamuongelea hehehehπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Tafuta point ndugu yangu uniambie wacha kurudia point za kupigania watu Uhuru hzo nchi mlipigania vita SAA hii zmewashinda na sasa mkipiganie watu Uhuru hamujengi nchi yenu kwani ndio mlijua 10years ago Tanzania iko na gold diamonds gemstone na gas reserves hyo miaka ya nyuma hamuku jua tz ina rasilimali na magufuli akibaki na miaka 7 inahusu kenya aje hata sisi pia uhuru amebaki na miaka 4 na cjaambia mtu
 
Na hyo c jibu na mm nikakuuliza mnapiganie watu vita na hamujengi nchi yenu mnabaki masikini hohehahe
Leo huskii aibu kua uchumi unapumulia mipira ya mikojo alaf baadae munamuona dr ndii mjingaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Tafuta point ndugu yangu uniambie wacha kurudia point za kupigania watu Uhuru hzo nchi mlipigania vita SAA hii zmewashinda na sasa mkipiganie watu Uhuru hamujengi nchi yenu kwani ndio mlijua 10years ago Tanzania iko na gold diamonds gemstone na gas reserves hyo miaka ya nyuma hamuku jua tz ina rasilimali na magufuli akibaki na miaka 7 inahusu kenya aje hata sisi pia uhuru amebaki na miaka 4 na cjaambia mtu

Unapoisema tanzania kwanza ujiulize wewe muliokua na nafasi zaidi ya miaka 40 muko wapi ????? Uozo mtupu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nafasi ya zaidi miaka 40 imepotea kama vumbi lenye kupuputika mumebakia kutapatapa hamuna mbele wala nyuma😁😁😁😁
 
Leo huskii aibu kuskia nafasi ya miaka 40 mliokua nayo mumedondokea puaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ failed state


hyo tweet ni ya mwaka gani ndugu yangu tuko 2018 ichoboy ebu leta ya 2018 nishutuke ichoboy unatuletea vtu za 2011 utanitia aibu siku moja
 
Tafuta point ndugu yangu uniambie wacha kurudia point za kupigania watu Uhuru hzo nchi mlipigania vita SAA hii zmewashinda na sasa mkipiganie watu Uhuru hamujengi nchi yenu kwani ndio mlijua 10years ago Tanzania iko na gold diamonds gemstone na gas reserves hyo miaka ya nyuma hamuku jua tz ina rasilimali na magufuli akibaki na miaka 7 inahusu kenya aje hata sisi pia uhuru amebaki na miaka 4 na cjaambia mtu

Usifkiri tunatumia reaources ovyo ovyo tu kwamba kwasababu tunazo basi tunatumia kwa fujo hatuendi kwanza tunasomesha vijana wetu alafu ndio waje kufanya kazi kwenye hzo minerals ndio maana leo hushangai kuskia unemployment rate in tanzania is below 12%πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hyo tweet ni ya mwaka gani ndugu yangu tuko 2018 ichoboy ebu leta ya 2018 nishutuke ichoboy unatuletea vtu za 2011 utanitia aibu siku moja

Haya sasa nioneshe link kua mushatoka kwenye failed state naisubiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ leo kutamu sana humu
 
you were right my brother imagine someone saying Tanzania is more developed than botswana and namibia i quit this is their game and their rules i cant win not this way i surrender
Prove to us that Botswana and Namibia they are more developed than Tanzania.
Guy ndo mji mkubwa wa Namibia🀣🀣🀣 Hapo Windhoek skyscraper zote nimemaliza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa unaongea na mtu aliye zunguka almost nchi zote za Africa
Windhoek_aerial.jpg
Carlotta-Conca-1-Main-768x512.jpg
 
Prove to us that Botswana and Namibia they are more developed than Tanzania.
Guy ndo mji mkubwa wa Namibia🀣🀣🀣 Hapo Windhoek skyscraper zote nimemaliza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa unaongea na mtu aliye zunguka almost nchi zote za Africa View attachment 944332View attachment 944333
Akiprove we nitag tu broπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna mkenya mmoja alisema all sectors in kenya zinafanya vzr hii habari nafkiri itamfurahisha sanaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘πŸ‘πŸ‘
From 5.3 to 1.9 heheh sio mchezo

 
Haya sasa nioneshe link kua mushatoka kwenye failed state naisubiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ leo kutamu sana humu
Huyo kwenye anasema Namibia and Botswana they are more developed than Tanzania bila yeye kuangalia ni development ipi anaongelea
atlas_BJOKD67VG@2x.png
 
Leo huskii aibu kua uchumi unapumulia mipira ya mikojo alaf baadae munamuona dr ndii mjingaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


ah ichoboy ndugu yangu uchumi was Kenya haupumulii mipira unaifahamu Kenya vizuri huu mwaka uchumi wetu unakuwa at 6% hyo c mbaya kuhusu deni tutalipa tu hiyo isikukoseshe usingizi kwa news za Kenya umeona kweli China ikituthreaten itachukua Mombasa port ama jkia wakati Kenya itashindwa kulipa deni basi uje unicheke
 
ah ichoboy ndugu yangu uchumi was Kenya haupumulii mipira unaifahamu Kenya vizuri huu mwaka uchumi wetu unakuwa at 6% hyo c mbaya kuhusu deni tutalipa tu hiyo isikukoseshe usingizi kwa news za Kenya umeona kweli China ikituthreaten itachukua Mombasa port ama jkia wakati Kenya itashindwa kulipa deni basi uje unicheke
Ahahahha sio tu inapumulia mipira bali inapumulia mipira ya mikojo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ 63% debt to GDP ratio alaf bado unakenua meno😁😁😁😁

Haya sasa niletee link kua growing economy in kenya is 6%
 
Back
Top Bottom