Asichojua nikuwa hizo nchi ni ndogo na pia zina population ndogo sana, hasa Botswana. Mimi na marafiki wengi niliojenga nao Mbweni wanafanya kazi Botswana na Namibia. Nisawa na watu wanavyosema Rwanda iko developed sana bila kuzingatia kuwa nchi yao na miji yao midogo sana.Akiprove we nitag tu bro๐๐๐๐