Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kq iko sawa kulease ndege c mbaya inamake losses lkni haijaanguka cku itaanguka ndio itakuwa issue lkni kama bdo inaenda newyork itaanza kuenda Mogadishu mwaka ujao iende telaviv hakuna la kushutua wakenya

Ku make loss maana yake inatumia pesa za tax payers kufidia madeni ili kunusuri loss inayokula nyama zenu zaidi 5yrs😂😂😂

Newyork mulianza kwa pupa mumeishia wapi sasa😁😁😁 tatizo lenu nyinyi munapenda sifa pasipokufkiria negative impacts
 
Angalia uemployment rate ya Botswana compare na Tanzania😂😂😂 Alafu sema they are more developed than Tanzania😂😂😂 Jua pia Tanzania tupo na population kubwa sana😂😂😂😂Leo nakupa elimu ya bure.View attachment 944400View attachment 944401
Ebu Google pia unemployment ya rate ya south Africa upost najua iko juu kuliko tz inamaanisha mko developed kuwashinda halafu pia ugoogle unemployment ya USA tuone ya Kenya pia ni 46% na tumewashinda
 
Tafuta point ndugu yangu uniambie wacha kurudia point za kupigania watu Uhuru hzo nchi mlipigania vita SAA hii zmewashinda na sasa mkipiganie watu Uhuru hamujengi nchi yenu kwani ndio mlijua 10years ago Tanzania iko na gold diamonds gemstone na gas reserves hyo miaka ya nyuma hamuku jua tz ina rasilimali na magufuli akibaki na miaka 7 inahusu kenya aje hata sisi pia uhuru amebaki na miaka 4 na cjaambia mtu
Hivi ujashituka hadi sasa TZ inavyo nunua ndege zote on Cash na kujenga reli on Cash.??? Tulia yajayo yanafurahisha. Very soon ujenzi wa Tram Dodoma utasikia unaanza. Hii ndo tram👇👇👇 Kama kawaida engineer wetu atakuwa Yapi Merkezi. Hiyo nikazi yake ya Morocco
articlesprincipales89876497_o-696x348.jpg
Casablanca_Tramway.jpg
 
Ku make loss maana yake inatumia pesa za tax payers kufidia madeni ili kunusuri loss inayokula nyama zenu zaidi 5yrs😂😂😂

Newyork mulianza kwa pupa mumeishia wapi sasa😁😁😁 tatizo lenu nyinyi munapenda sifa pasipokufkiria negative impacts
Ah ichoboy ww hunishutua SAA zingine ww hufollow david ndii na kuona news za Kenya ushawahi ona wapi kq ikipewa handout na govt ya kenya ndio useme inawaste taxpayers money kq inajitegemea kivyake serikali hainunuli kq ndege kama air tz kq inategemea mapato yake kununua ndege mpya kulease zingine kulipa parking kununua mafuta so hapo umenichocha kidogo
 
Mko na power 24 hrs hapo Kenya😂😂😂

Ichoboy ww huniangusha sana hzo vtu hutokea maramoja tu wakati kunarepair and maintenance mm hapa nilipo busia border stima ilipotea October tarehe kumi na nane wakati transformer iliungua na ikawa replaced na stima haijablink hata tangu hyo cku kwani daresalaam huwa hakuna black out tuambiane ukweli ichoboy
 
[QUOTEE="ichoboy01, post: 29332709, member: 420069"]Ahahahah basi ikiwa huna maana yake hanujatoka kwenye kundi failed state world wide sasa pamabaneni na hali zenu kwanza😂😂😂😂😂👏👏👏👏[/QUOTE] ebu leta hyo link nione ambayo Kenya iko bado failed state nicheke mm pia kwa nini failed state iko na high hdi na quality of life kuliko a stable and peaceful country hili swali hunisumbua sana
 
Back
Top Bottom