Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy are you seeing the difference
tapatalk_1542436936231.jpeg
 
waulize event organizers wa kenya kwanini wana recommend ku-sign deals na wanamziki wa tz. watakupa jibu.
What women like and go to men will follow ila ni wazi wanawake Wakenya wanapenda muziki wa bongo(That is the older generation juu hawa wa siku hizi wameanza kufatilia kina nyansshinski na lamba lolo). Hata wewe lamba lolo.
 
Muda ukifika utawajua tu,wala haiitaji nguvu.

Kwani hata kabla ya hii battle ulijua dar imekuwa ya kuicha nairobi???
Dar inajulikana hapa JF peke yake ila Nairobi ni dunia kote vile vile comedians wenu mnawajua nyie peke yenu ila wetu mnawajua pia. Hebu weka moja bila uoga tuone vituko vya wabongo.
 
Dar inajulikana hapa JF peke yake ila Nairobi ni dunia kote vile vile comedians wenu mnawajua nyie peke yenu ila wetu mnawajua pia. Hebu weka moja bila uoga tuone vituko vya wabongo.
NYIE MNA COMMEDIAN
TZ KUNA MUSICIAN
How about that?
Nairobi kujulikana duniani so what
 
Dar inajulikana hapa JF peke yake ila Nairobi ni dunia kote vile vile comedians wenu mnawajua nyie peke yenu ila wetu mnawajua pia. Hebu weka moja bila uoga tuone vituko vya wabongo.
Mwasiti acha kujitoa ufahamu,ndani ya germany kuna avenue inaitwa dar,ebu tembea tembea kidogo duniani,acha kujifungia na brainwash ya hapo kibera
FB_IMG_1538812961762.jpeg
 
Back
Top Bottom