Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lete picha wacha maneno nione hizo ngozi zenu nyeusi zilizochakaa ila hata kama unazo sidhani kama tatoo zinaweza kuonekana kwa jinsi hizo black colour chakavu mlizonazo wakenya ni zaidi ya mkaa
Ulikuwa wapi zikiletwa hapa?
 
Lete picha wacha maneno nione hizo ngozi zenu nyeusi zilizochakaa ila hata kama unazo sidhani kama tatoo zinaweza kuonekana kwa jinsi hizo black colour chakavu mlizonazo wakenya ni zaidi ya mkaa

🤣🤣🤣tatoo hata za njano mwambie alete.
 
Yes they have,kwa kuwauzia treni la 1947's na kulichapa rangi za bendera ya kenya 2018,hands up to those mongorians
Nimekuambia huna akili , ebu leta train enye iko na rangi ya bendera ya Kenya.
 
Si unaskia ukisema tu bongo , kila time tunawaambia bongo ni LDC na hamuelewi, vitu kama hizo huezipata LDC which is ruled by foolish President MagFOOLI
Eti askari ana tattoo!!,.kama hamuwezi kujisimamia wenyewe jamaa wa makobanzi watawasumbua sana!
 
Nawaambia tu ukweli. Dar huwezi pata street imetulia kama hii. Wacha wapige walete hapa tuione. Bila make up. Raw image. Mombasa Kenya
View attachment 936324
Mwanza hio pambana nayo kwanza😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇
CB105A4A-6794-458D-89A3-646890BE86C3.jpeg
 
Hata wameintroduce Albinism anatomy for Tanzanians pekee
Hiyo sisi huku ndio tumewazidi, ila ninyi huko vyuo vyenu vinaongoza katika kufundisha, terrorism, tribalism , crime and Corruption. Nikimaliza masomo haraka sana GoK watanipa kazi ili nifanye stage managed terror attack at Two River mall
 
Back
Top Bottom