El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Why are these Tanzanian towns never clearly developed....utapata tu mkusanyiko wa nyumba za kuhurumiwa na roundabout ati city....nkt
😂😂😂 kuna comedians wengi huko kwao.. Ni ile tu hawajui sana talantaWaliambiwa kila kitu watakuwa wanablame Kenya, utaskia mwingine akisema ati sijui wako ndege moja cause Kenya iliiba ndege yao![]()
Alafu hiyo kitu amesema lazima Msapere ajuekuna comedians wengi huko kwao.. Ni ile tu hawajui sana talanta



Aah! Aah! Mi Dar Sijatembea vile. Nisiku moja tu ya kuvisit. Wakati nimekaa Namanga na Kimana, nimeingia ingia TZ lakini Dar mara moja tu. Nikishika njia naingia Namanga, Longido, Mlima Matako pale ukielekea Arusha. Arusha mjini. Lakini Arusha ikiondoa EAC HQ inabaki kama Kajiado Tu. Vinyuma vya mabati na vumbi kote. Kwanza Arusha karibu nusu ya watu wanaofanya biashara pale ni wakenya. Hata kwa ujenzi. La kushangaza, wenye pesa Arusha huleta watoto wao kusomea Namanga, Kajiado, Isinya na Kitengela Kenya.Hakuna cha ajabu...hapo ,,,hilo eneo ni balaa inaelekea wakati unakuja dar ulikuwa umekuja kwa ndoto......hakuna ulijualo
Msapere atammaliza😄Alafu hiyo kitu amesema lazima Msapere ajue![]()




eti haujatembea,kwa hiyo ulikuwa unapaaAu unadhani level hapo ni sawa na huu uchakavu wenu wa nairobi





Aah! Aah! Mi Dar Sijatembea vile. Nisiku moja tu ya kuvisit. Wakati nimekaa Namanga na Kimana, nimeingia ingia TZ lakini Dar mara moja tu. Nikishika njia naingia Namanga, Longido, Mlima Matako pale ukielekea Arusha. Arusha mjini. Lakini Arusha ikiondoa EAC HQ inabaki kama Kajiado Tu. Vinyuma vya mabati na vumbi kote. Kwanza Arusha karibu nusu ya watu wanaofanya biashara pale ni wakenya. Hata kwa ujenzi. La kushangaza, wenye pesa Arusha huleta watoto wao kusomea Namanga, Kajiado, Isinya na Kitengela Kenya.




eti nusu ya wafanyabiashara wa arusha ni wakenya.. 



Aah! Aah! Mi Dar Sijatembea vile. Nisiku moja tu ya kuvisit. Wakati nimekaa Namanga na Kimana, nimeingia ingia TZ lakini Dar mara moja tu. Nikishika njia naingia Namanga, Longido, Mlima Matako pale ukielekea Arusha. Arusha mjini. Lakini Arusha ikiondoa EAC HQ inabaki kama Kajiado Tu. Vinyuma vya mabati na vumbi kote. Kwanza Arusha karibu nusu ya watu wanaofanya biashara pale ni wakenya. Hata kwa ujenzi. La kushangaza, wenye pesa Arusha huleta watoto wao kusomea Namanga, Kajiado, Isinya na Kitengela Kenya.







Nawaambia tu ukweli. Dar huwezi pata street imetulia kama hii. Wacha wapige walete hapa tuione. Bila make up. Raw image. Mombasa Kenya
View attachment 936324
Uchakavu uliopangwa. Githurai Nairobi Kenyaeti haujatembea,kwa hiyo ulikuwa unapaaAu unadhani level hapo ni sawa na huu uchakavu wenu wa nairobi
View attachment 936326
Police hawezi kuwa na tattoo,huyo ni Malaya..Nyinyi ni LDC kweli, hujaiona polisi mwenye ako na tatoo?
Evidence gani. Si uende Arusha utapata wakikuyu wakiongea Kikuyu tu!! Waluhya wakipiga Yao. Na Wajaluo!!!eti nusu ya wafanyabiashara wa arusha ni wakenya..
Habari za usiku Mr.Wanjaa?...naona inabidi tuanze salama za usiku sasa
LETA EVIDENCE
We only reply with one pic and that's enough
Toka LDC bongolala uone mengiPolice hawezi kuwa na tattoo,huyo ni Malaya..
Nilishangaa kuona eti askari wa kdf ana rasta,leo tena police officer ako na tattoo mkononi.Unapenda kuongea màtope sana. Kenyan girls are dignified people. Si kama wengine wanajulikana vile huwa desperate hadi wanatumia ushirikina ndio wapendwe
We only reply with one pic and that's enough View attachment 936356