Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Umemaliza assignment ya shule?Yesssss,ndio maana walijikuta na kandambili miguuni westgate wakipambana na alshabaab,ju ni raia tu.
I told you to go and borrow functioning but umerudi bila kufanya hivo, should i borrow it for you?![]()
Anaokota picha za mtandaoni models wamevaa kombati,ye anadhani ni real police officers,halafu mi nashangaa yaani kitu kikifanywa na mzungu hata kama ni kibaya ilimradi kimefanywa tu na mzungu wakenya kwao ni halali,hawana maamuzi yao binafsi,jamaa bado wana chembechembe za utumwa akilini mwao..,kweli kabisa...
Hata hivyo kenya hawana taratibu za police kuwa na tatoo ..huyo anaokota picha za white anajicompare na poor kenyan



jamaa ana akili zakitoto amakuwa mwanatakimwu ya government anakuambia eti nusu ya arusha wafanya biashara ni wakenya kuliko waarusha
Those pain behind emojis.
Nairobi hakuna njia za matope???achana na za mavi hizo zitakuonyesha tutachefua watu wapa.
Kwani huyo white ni polisi ama jambazi?
Chinese have brains we ndo huna, so I'll borrow it for youBorrow it for your neighbourhood chinese.



Ziko kibera sasa inamaanisha tulinganishe Kibera na Kijitonyama!? Hivi inamaanisha Kijitonyama ni Slum!?Those pain behind emojis.
Nairobi hakuna njia za matope???achana na za mavi hizo zitakuonyesha tutachefua watu wapa.
We jamaa ni zwazwa kila siku huwa nakwambia,huku bongo askari akiwa tatted ni kosa,na Anakosa sifa ya kuwa askari!Nani amekuambia hao ni models, leta prove that they are models. Guess work utaacha kijana
![]()
Ebu mulize ballacks ni niniNimeona ballack mahali
Ulikuwa wapi zikiletwa hapa?Kwani we unaonaje.....?==hebu lete picha kadhaa hapa za kenya police waliochora tatoo,kuachia afro,nakujitoboa vipini puani
Nimeona ballack mahali



Nilijua tu utakuja huku,kwanza tambua hao si askari ni models tu,pia wakenya mnapenda ku-copy na ku-paste marekani na uingereza!..hivi huwa hamuwezi kufanya viti vyenu??..nilishangaa uhuru alivyoruhusu wanaume kwa wanaume waoane eti kwa sababu america na uingereza wanaume huoana!sasa ona ulivyokuwa mjinga umeokota picha za models mtandàoni unadhani ni askari kweli,we unafikiri hizo picha ninazo kibao hadi Kim kardashian kavaa kombati..
Umelewa ama uko sober!?Leta evidence,,,arusha ni nyumbani lete official takwimu zinazoonyesha kama nusu ya wakenya ndiyo wafanya biashara waliopo arusha kuliko wazawa wa arusha wenyewe,,
Leta mkuu niione maana wewe ndiye umekuwa tanzania government na huwa unapiga sensa kwa macho ,,,angali hata boda haulijui
Nangojea evidence yako mzee wa takwimu
Tattoo ndio inafanya kazi ama ni polisi mwenyewe? Vibaya ni kuwa na scars.
Si unaskia ukisema tu bongoWe jamaa ni zwazwa kila siku huwa nakwambia,huku bongo askari akiwa tatted ni kosa,na Anakosa sifa ya kuwa askari!
Acheni copying and pasting saa zingine msimame ninyi wenyewe kama wakenya,wajinga ñyinyi!!


, kila time tunawaambia bongo ni LDC na hamuelewi, vitu kama hizo huezipata LDC which is ruled by foolish President MagFOOLI 


Khaaa aiseee kweli Kenya machizi wengiJana Dar ilitambua Mombasa ni nani. Siku darislum ita afford kuita Chris Brown wanitag