Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unapafahamu hapa!? Karioko
View attachment 934729

Kariakoo😂😂😂😂👇👇👇👇
340E9B03-D383-4CA9-B3F2-6D8B8090CCF1.jpeg
1D4367D5-8471-4E62-B977-729CC12EB52E.jpeg
8E6DEF94-B0D2-40CF-A3BE-4B408C7F9C80.jpeg
80127663-C270-4DC8-A96C-9CE70E660587.jpeg
577F3FF4-E0F8-4BD0-B299-3FF3FB6CB704.jpeg
EDD51769-2D2A-4EC0-9131-6436BA5FE7B8.jpeg
2643A9F9-856A-419A-B0AE-85C3C4448D75.jpeg
 
Unajua hawa kipindi hii group imeanzishwa walikuja kwa dharau wakidhani bado ni ile tanzania ya 90s sasa leo wanatahamaki kilichobakia kwao ni hasira na kurusha ngumi za hewani😂😂😂😂
Ichoboy, kiukweli, kataa ama kubali. Hii ni posta au la. Halafu niambie imezidi nini Eldoret.
IMG_20181115_084542.jpg

Hapa unaona TPA kwa kona!??? Halafu angalia barabara.
IMG_20181115_084949.png
 
Ichoboy, kiukweli, kataa ama kubali. Hii ni posta au la. Halafu niambie imezidi nini Eldoret.
View attachment 934781
Hapa unaona TPA kwa kona!??? Halafu angalia barabara.
View attachment 934790
😂😂😂😂😂Eti hapo ni posta😂😂😂😂😂😂Picha ya mwisho ni Kariakoo maeneo ya Gerezani na picha ya mwanzo ni Morogoro road.😂😂😂😂
 
Eti MLDC anashindana na LDC,,huku macho yakiwatoka....

Kuna vitu vikikaa sawa hatupaswi kujadili tena kuhusu Dar na Nairobi maana Dar ni level yakimataifa..,,nairobi mji mchafu nawaajabu sana.....
Unajua hawa kipindi hii group imeanzishwa walikuja kwa dharau wakidhani bado ni ile tanzania ya 90s sasa leo wanatahamaki kilichobakia kwao ni hasira na kurusha ngumi za hewani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeanza kuhangaika. Hapo ni wapi!???
Hivi Nairobi ni mji wanaishi watu au nguruwe😂😂😂😂 Huoni mwenzako kavaa t-shirt yenye bendera ya kunya👇👇Zoom Picha😂😂😂😂😂👇
4D44230F-7B57-4CED-A618-603BFFFD89BA.jpeg
 
Endelea kungojea ruti za kula kwa macho angali maishani mwako haujawahi panda ndege....

Endelea kungojea real newz[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hawa wa Azam haya walipata kwa JF ama!? Fake news. Imepunguza safari sio kusitisha.
 
Eti MLDC anashindana na LDC,,huku macho yakiwatoka....

Kuna vitu vikikaa sawa hatupaswi kujadili tena kuhusu Dar na Nairobi maana Dar ni level yakimataifa..,,nairobi mji mchafu nawaajabu sana.....
Unapafahamu hapa!?
IMG_20181115_085030.png

Na hapa!?? Katikati ya jiji Dar is Slum
IMG_20181115_083138.jpg
 
Back
Top Bottom