komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Asante kutoshangaa...na pia bado sijashangaa kuona mko ldc na nchi inasemekana ni ya asali na maziwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]na sikushangaa mumewekwa kwenye kundi la failed state alaf angola ana GDP ya 120b na 23million people ila yupo LDC wewe hushangai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]