Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ehehehe umeanza kuchanganyikiwa heheheh hata video hutaki kuangalia
How are you feeling.
FB_IMG_15406688235016998.jpeg
 
Mfano mzuri ni dar na nairobi......au bado unabisha...
Haya leta hzo atahari za slums kw uchumi...hhhhhh!!!utatoa wapi hii nyo...WB IMF AU AFDB
rudia tena nikuletee athati za slum kwa uchumi athari yake ni kua 8000 people own 65% of ur GDP and 47 million muna share 35% ya uchumi wenu umeona sasa hasara yake kiuchumi maana yake hakuna inclusive economy 😂😂😂😂😂👏👏👏
 
Hhhhh!!!eti ichoboy kivyake anaona amenikamata hapa... leta yenu ya 2018 hapa
list 10 towns unazoziamini acha porojo weka 10 town na sisi tueke 10 towns alaf twende kazi sasa 😂😂😂👏👏👏👏
 
Leta kibera tena....
Dar vs kibera
umekasirika 😂😂😂👏👏👏👏👏
na siku ukiingia google earth ukapata kitu kama hii 👏👏👏👏😂😂😂👇👇👇

mzungu pamoja na kumramba matako lakini kawaeka hapa😝😝😝😝

792EC328-4630-4972-B995-C00B96A4AA16.png
 
Duh we dada mbona mgumu kuelewa,hao citizen wametoa IMF,ngoja nijifunze kuaplodi pics nitaileta hapa from IMF themselves..
Halafu nilishakuambia uchumi haulazimishi kwa kutamka tu GDP 88,huwa unajidhihirisha wenyewe tu..
Mbna mnaforce vitu vya 2017 ..au leta yenu ya 2018 basi tuone 7.2%
 
Mbna mnaforce vitu vya 2017 ..au leta yenu ya 2018 basi tuone 7.2%
2018 bado haijawa matured hio ni uchumi sio mahesabu ya dukani 😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏

2017
74 vs 52 Waliposema IMF gap imepungua hawakua wajinga👇👇👇👇👇
03D0D9CB-44B2-47AD-8886-B3D7C2FEDFEC.jpeg
 
Kila mji wenu una bonge la slum..kw lugha yaki tz mnaita..unplanned settlement
endeleeni kuokota na picha za congo museme dar na sudan musisahau pia😂😂😂😂😂😂 maana sisi tungekua wazungu hata kibera tungeambiwa iko tanzania 👏👏👏👏👏👏👏
 
Hii unaona jinsi ulivyo kilaza..IMF hawatoi hadi mwaka ukamilike!
Kbe kelele zote zile unalijua hilo...kaa kimya upagawe mwnywe...wacha kulia lia humu..natak kuipna hyo rate 7.2% ..yani hyo siku nitacheka san
 
rudia tena nikuletee athati za slum kwa uchumi athari yake ni kua 8000 people own 65% of ur GDP and 47 million muna share 35% ya uchumi wenu umeona sasa hasara yake kiuchumi maana yake hakuna inclusive economy
Eti ninaona hasara..hyo ndio fact..UNAONA...yani nimecheka sana...basi bongo si ni 2400 people..manake umeleta list ya millionaires...
Kumbe bongo ni misifa tu
 
list 10 towns unazoziamini acha porojo weka 10 town na sisi tueke 10 towns alaf twende kazi sasa
...siez linganisha town za kenya na za ldc...ni kuishusha hadhi nchi yangu..sasa km dodoma inachakazwa na thika...alafu mbeya nayo ni city...hhh!!!yani nikifanya huu ujinga wakenya wenzangu watanidharau sana...
Labda uka google kimya kimya pekeako...
 
simjinga pia kw kuwaeka katika kundi la ldc.
na sikushangaa mumewekwa kwenye kundi la failed state alaf angola ana GDP ya 120b na 23million people ila yupo LDC wewe hushangai😂😂😂😂👏👏👏👏
 
...siez linganisha town za kenya na za ldc...ni kuishusha hadhi nchi yangu..sasa km dodoma inachakazwa na thika...alafu mbeya nayo ni city...hhh!!!yani nikifanya huu ujinga wakenya wenzangu watanidharau sana...
Labda uka google kimya kimya pekeako...
uahahhahahhahah wenzako wamekwambia usitaje list wanajua kipigo hua kitakatifu😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏
 
Eti ninaona hasara..hyo ndio fact..UNAONA...yani nimecheka sana...basi bongo si ni 2400 people..manake umeleta list ya millionaires...
Kumbe bongo ni misifa tu
ahahahhaha ww huwez shangaa kwasbabu umaskini ni sehemu ya maisha yako huku ukiwa na ndoto za mchana za kumiliki ardhi na nyumba😂😂😂👏👏👏💉💉💉
 
Back
Top Bottom