Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 915176

ahadi ni deni!! utahama jf lini??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ ukitoa hilo neno rudi tuendeleeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa akili yako unaona alietangaza hio nyumba hvo ni mjinga
975308E2-5C12-4368-891F-445271D8443E.jpeg
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ ukitoa hilo neno rudi tuendeleeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa akili yako unaona alietangaza hio nyumba hvo ni mjinga
View attachment 915242

wewe itakubidi urudi shule uombe wakurudishue karo maana inaonekana walikuibia mchana peupe!
comprehension kwako ni zero! Ambassadorial ni standard na si ati ni ambassador anaishi humo ndani. Hata ingekuwa ni ma ambassador wanaishi humo issue ilikuwa nyumba zinazo kodeshwa kwa $5000.
**hapa nilikuambia hakuna pa kutokea, itabidi umehama.
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡tanzania sasa inawika kila siku

 
wewe itakubidi urudi shule uombe wakurudishue karo maana inaonekana walikuibia mchana peupe!
comprehension kwako ni zero! Ambassadorial ni standard na si ati ni ambassador anaishi humo ndani. Hata ingekuwa ni ma ambassador wanaishi humo issue ilikuwa nyumba zinazo kodeshwa kwa $5000.
**hapa nilikuambia hakuna pa kutokea, itabidi umehama.
maelezo yako wazi kabisa aliandik hapo sio mjinga kama unavofkiri weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰
5B3A3B15-4022-4671-9275-623D877DC030.jpeg
 
Duniani kote ardhi siku zote inakuwa chini ya serikali ndiyo maana kodi ya ardhi hutozwa kwa kila mwananchi ansyemiliki ardhi tofauti ya Tz na hako kanchi ka kenya mnakoishi ni sheria ama taratibu za umiliki wa ardhi hivyo maskini kama wewe mmetupiliwa mbali na kinachofanyika katika serikali yenu ni kuthamini foreigners,wazungu na wenye pesa na si wakenya mlio chini kama wewe
The land in tanzania is owned by the government..kwhyo ccm ndio wamiliki sai...
Unapangiwa mpka miaka ya kumiliki ardhi alafu hyo ikiisha u renew au km serikali inaihitaji iichukue na kuitumia kw mambo mengine...
Hhhhh!!!dictatorship
 
wazee wa GDP 74 vs 52 afe kipa afe bekiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ sasa endeleeni kupika mudanganye watu muna GDP ya 80😝😝😝😝

 
The land in tanzania is owned by the government..kwhyo ccm ndio wamiliki sai...
Unapangiwa mpka miaka ya kumiliki ardhi alafu hyo ikiisha u renew au km serikali inaihitaji iichukue na kuitumia kw mambo mengine...
Hhhhh!!!dictatorship
kabla sijakujibu swali lako unaweza kunifafanulia hiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ unajua kwasababu gani kijana kama ww kumiliki ardhi na kujenga ni ndoto kwako tena ndoto ya kuota mchana???πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ‘
6EECB233-BFD9-448B-A6CF-DA5C40B86827.jpeg
 
Back
Top Bottom