Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20181027-140238.png


Nairobi JKIA Airport
 
Dar ni mkoa..hilo nalo unapinga...ndo manake mna vijiji vingi km mikoa mingine..uongo...
Ile siku utaniletea ukubwa wa urban centre ya dar ndio tutajadili mada viziuri..usiniletee mkoa hapa
Unaleta porojo..!?halafu we si ndo ulinipa location,unaishi kwenye vile vibanda vya Mombasa??
 
nasubiria please
umekosa link ya kua munamiliki ndege ryt๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ndege za wanaume munaita zenu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
ahahahha nyumba kama hzo wanaishi watu wenye pesa wenye familia kubwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘ saidia mwenzio kuhara
humbwer ghasia takataka! sasa unehamisha goal post "ati nyumba inakodeshwa na mabalozi".
***anayekodesha nyumba anadai hela ngapi kutoka kwa mpangaji, iwe balozi, muuza mihadarati, mwalimu, rais, etc? ukijibu hilo swali, na uhame jf kama ulivyo ahidi.


****nyumba kuwa ambassadorial haimaanishi ni ma ambassador wanaishi humo ndani! bongolala education is just sh!t wallai.
 
Back
Top Bottom