Najua kuna wakenya wenzie hujiona Aibu na Coments zako hizi!!This city darslum has no suburbs.. No modern highways...no multinationals..no modern airport etc iko na tower mbili tu
Sijaona Mkenya Zero Jf kama huyo mtuKwikwikwikwikwikwi, Kchwani mwako hakuna kitu.
Fact ka mkonazo mzitaje...ujinga yenu siezi entertainNajua kuna wakenya wenzie hujiona Aibu na Coments zako hizi!!
Hahaha Yaani wewe ndio level ya Zero
kwa wakenya woote humu Jf
Ukishindwa unaanza kusema zero..Hehe watu huchukia msema ukweliSijaona Mkenya Zero Jf kama huyo mtu
hahaha
Hahaha ngoja nifuatilie kwanza County unayo ishiUkishindwa unaanza kusema zero..Hehe watu huchukia msema ukweli
Naishi Kenya na Niko county zoteHahaha ngoja nifuatilie kwanza County unayo ishi
Nitakufahamisha kwanini Upo hivyo
Haha Niko Nairobi,Mombasa,Nakuru,Nyeri,meru,kiambu,embu,uasin gishu,kericho,kisumu,kakamega etc Niko kenyaHahaha ngoja nifuatilie kwanza County unayo ishi
Nitakufahamisha kwanini Upo hivyo
They have non...only two towersI am still waiting for suburbs, roads,
Hizo towers tumeziona tukachoka. Na some sexy roads hivi, we wont mind
Wacha we wait, labda wameenda kupiga picha. Niliwaonyesha Karen na Runda na Hurlingham kiasiThey have non...only two towers
Good work wajue suburbs ni niniWacha we wait, labda wameenda kupiga picha. Niliwaonyesha Karen na Runda na Hurlingham kiasi
I have like 20 more hoods waiting. Wacha wakipost zao nipost Muthaiga na Lavington. Later I will more
Kuna wapuuzi Mombasa lakini si kwa level yakoHaha Niko Nairobi,Mombasa,Nakuru,Nyeri,meru,kiambu,embu,uasin gishu,kericho,kisumu,kakamega etc Niko kenya
Utaona wakianza kupost picha za kibera hapo ndio utajua kwa nini literacy yao ni 60% Kenya ikiwa 90%Wacha we wait, labda wameenda kupiga picha. Niliwaonyesha Karen na Runda na Hurlingham kiasi
I have like 20 more hoods waiting. Wacha wakipost zao nipost Muthaiga na Lavington. Later I will more
these guys are petty af. Labda mtu anaishi lake tanganyika na anapiga domo hapaHaha Niko Nairobi,Mombasa,Nakuru,Nyeri,meru,kiambu,embu,uasin gishu,kericho,kisumu,kakamega etc Niko kenya
Kusema mko chini ya Kenya ndio upuuzi..ukweli inakuumaga sana bratheKuna wapuuzi Mombasa lakini si kwa level yako
Tuonyeshe suburbs kakaKuna wapuuzi Mombasa lakini si kwa level yako
Acha uongo nimefika Nairobi nilitembea kidogo tu nikatokea gikombaa nilishangaa sana city centre kuna matope na nyumba za mabati ila kingine usalama mdogo nilichelewa kurudi hotelini wakaniambia unabaati chokoraa wangekukamata ingekuwa shidaIf you come to Nairobi you will hardly notice a slum..the good thing is we know there are slums and we are working on it
Ulitembea wapi Nairobi? Westlands, upperhill, Nairobi west, etc?? Na mnara ni part ya jengo, not all Kenyan towers have minaras btw. But ata burj mnara unahesabiwa, sijui why this is stinging you guys. Apart from that, wanajenga jengo la 330m bila mnara basi, na lingine 201m na lingine 182m. As we speakAcha uongo nimefika Nairobi nilitembea kidogo tu nikatokea gikombaa nilishangaa sana city centre kuna matope na nyumba za mabati ila kingine usalama mdogo nilichelewa kurudi hotelini wakaniambia unabaati chokoraa wangekukamata ingekuwa shida
Ukweli usemwe Nairobi ndogo sana na hayo majengo unayo post uku nimeyaona Kwa macho hayana uzuri wala urefu was kutisha maana nilikuwa si angalii minara kumbe nyie mnahesabu adi minara unakuta half ya jengo ni mnara