komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Wivu huo...sgr dume anawakosesha usingizi...tupia tena picha ya yule mwanaume...usimchezee bana...anabeba double stack...mwanaume kamili 😀 😀 😀 😀kweli? tuonee wivu vitu hivyo?
Wivu huo...sgr dume anawakosesha usingizi...tupia tena picha ya yule mwanaume...usimchezee bana...anabeba double stack...mwanaume kamili 😀 😀 😀 😀kweli? tuonee wivu vitu hivyo?
Sasa mzee wangu...unaleta post ya geofrey omollo hapa...kiswahili chenyewe kakikuta shuleni...anajuwa nn haswa kuhusu kiswahili...hapo ni sawa na kusema kingereza ni cha wamarekani kw sababu hukiongea sanahuwa nasema kila siku kwamba kuna tofauti kubwa sana kati ya wakenya waliopo katika mitandao mengine kama twitter, fb, instagram na wakenya wachache wa hapa jamiiforum.
wakenya wachache wa hapa jf ni factless, blind patriots pia wapo too emotional katika arguments.
wakenya wa twitter, fb na instagram wapo real sana,kama ni white watasema ni white, hapendi ku beat around the bush.
lakini pia inapofika suala la kuzungumzia mazuri ya tanzania hawapo unbiased kama wakenya wachache wa hapa jamiiforum.
katika mtandao wa quora limeulizwa swali "why is tanzania's music industry successful than kenya's?.
mkenya mmoja amejibu vizuri sana. maelezo yake yame-base kwenye fact na si hisia.
najua wakenya wa jf wata catch feelings watakapo soma maelezo haya.
View attachment 890746View attachment 890747View attachment 890748View attachment 890749
sidhani, nakumbuka miaka ya nyuma form 4 graduates waliosomea kenya walikuwa hawakubaliwi kupata direct entry katika admission ya vyuo vikuu.But hvo hvo form 4 wa kenya akija bongo atakubaliwa chuo kikuu hta bila ya kupitia form5 na 6...jiulizeni tatizo n nn sasa hapo
umesoma alichokiandika au umekurupuka?Sasa mzee wangu...unaleta post ya geofrey omollo hapa...kiswahili chenyewe kakikuta shuleni...anajuwa nn haswa kuhusu kiswahili...hapo ni sawa na kusema kingereza ni cha wamarekani kw sababu hukiongea sana
Sijajua Tcu wameset standards gani kama equivalents za kuingia university kwa kijana anayemaliza form 4 kenya. Mfumo wa secondary kwa 4+2 ni mzuri ndio maana hata syllabus ya Cambridge iko hivo.But hvo hvo form 4 wa kenya akija bongo atakubaliwa chuo kikuu hta bila ya kupitia form5 na 6...jiulizeni tatizo n nn sasa hapo
Usinichekeshe, hizo treni zilizopakwa paint na jinsi wachina wanavyowapa kipigo taratibu, sidhani kama unaelewa jinsi mlivyo kwenye troubleWivu huo...sgr dume anawakosesha usingizi...tupia tena picha ya yule mwanaume...usimchezee bana...anabeba double stack...mwanaume kamili 😀😀😀😀
Baby mbona hunipi jibu?Mtu kama tuusan hajatembea Kenya. Haamini kwamba Kenya kuna elimu nzuri. Anaijua UDSM pekee
Kitaje hicho kitu hapa, na ukitaja basi mi nitarudisha Vyeti vyangu Necta na kujiandikisha upya darasa la kwanza kenya.Nilishangaa kuona vitu ambavyo tulifunzwa darasa la nne zinafunzwa kidato cha tatu huko bongo.
Unachokisema hapa ni ukweli lakini mbona unayadhalilisha masomo ya Kenya?Kitaje hicho kitu hapa, na ukitaja basi mi nitarudisha Vyeti vyangu Necta na kujiandikisha upya darasa la kwanza kenya.
Mfano biology unaweza sema tunarudia mambo ya shule ya msingi lakini sio Kweli. Hizo reproduction tunasoma kuanzia darasa la 5 mpaka chuo kikuu. Ila we ukiona sepals na petals basi unaona ni yaleyale ya darasa la nne Kumbe ni
mambo yaleyale ila kwa upana zaidi
Kwa taarifa yako hata A level kuna topic zilezile za primary na o level ila kwa upana zaidi
Your retarded manWetlands ndo mnataka kulinganisha na uchafu postaView attachment 890588
Ingekua sawa wala tusingekua na haja ya kusoma vitabu vya wahindi katika physics na chemistry bali tungesoma vya kwenu. Kuna siku nilitazama vitabu vyenu vya kiada katika chemistry na nikagundua kuwa graduate wa A level bongo hawezi kabisa kuwa sawa na form 4 graduate wa kenya.form 5 and 6 ni rahisi sana compared to form 4 ya Kenya ...................most kenyans who score grade C minus and D plus end up with distinctions in O levels
Kenya hamjanikosha badoSo you believe about S.A and Zimbabwe but not Kenya.
But![]()
Don't baby meBaby mbona hunipi jibu?
Sijadhalilisha ila we ndio umetudhalilisha. Mi a level Nilisoma PCB (Physics, chemistry na biology ). Niambie hapo nikutajie topics za somo lolote kati ya hayoUnachokisema hapa ni ukweli lakini mbona unayadhalilisha masomo ya Kenya?
Hebu nitajie topics mlizozisoma kidato cha sita
No sio kwamba siamini mnaelimu nzuri,ofcz elimu mnayo lakini kusema mmetuzidi sana Tz ndio siwaelewi nilikuambia we are the same mkawa hamuelewi sijaona masomo yatofauti Kenya maana TZ elimu ipo tena itategemea na wewe mwenyewe umesoma wapi na unazingatia kwa % ngapi masomo yakoMtu kama tuusan hajatembea Kenya. Haamini kwamba Kenya kuna elimu nzuri. Anaijua UDSM pekee
Ugumu wa form four yenu uko wapi zaidi,somo korofi sekondari ni advanced physics pekee hayo mengine sio masomo yakusumbua sanaform 5 and 6 ni rahisi sana compared to form 4 ya Kenya ...................most kenyans who score grade C minus and D plus end up with distinctions in O levels
I dropped physics. So tell me about chem and biologySijadhalilisha ila we ndio umetudhalilisha. Mi a level Nilisoma PCB (Physics, chemistry na biology ). Niambie hapo nikutajie topics za somo lolote kati ya hayo
Najua kenya nzima utakuwa umekosa wakukuna maana wanaume wakenya wanaenjoy zaidi na wanyama kuliko nyie the rest wanadream kuolewa America na BritainDon't baby me