Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mmeshindia sehemu moja hata in the 5000th post..........afadhali watu waanze hata kupost weekend gigs .mnaboh sasa
Lets start sending the Kibera slums photos, its well known in the entire world!😱😱😱😱
 
Hii nikibanda ama?
M39.jpg


M23.jpg


M21.jpg


M8.jpg


M7.jpg


M10.jpg




SOURCE:EAST AFRICA RETAIL CORPORATION WAZINDUA PUGU MALL BARABARA YA NYERERE DAR | Okandablogs
 
South Africa is far ahead, even Johannesburg is richer compared to all east and central African countries combined
 
wachana na uon my friend......mediocre grades never see that gate.....tanzanians with a c can take medicine and surgery course while in Kenya you must have an A grade only
Usiringanishe grade za form 4 ya kenya na form 6 ya Tanzania. Kiukweli mtu anaemaliza form 6 Tz anajua vitu vingi kuliko wa form 4 kenya na ndio maana Kozi ya miaka 3 Tz kenya ni miaka 4.

Grade ya mwisho kusoma Medicine bongo ni point 10 ambayo ni sawa na kupata DCC katika masomo ya PCB (Physics, chemistry na biology ). Kupata hizo points katika ACSEE sio jambo dogo kama unavofikiria
 
Nilishangaa kuona vitu ambavyo tulifunzwa darasa la nne zinafunzwa kidato cha tatu huko bongo.



hahaha...........i am talking of an A plain of 84 out of 84 points ............thats the qualification for direct medicine and surgery course in kenya.....hata na 83 points huwezi pata
 
hahaha...........i am talking of an A plain of 84 out of 84 points ............thats the qualification for direct medicine and surgery course in kenya.....hata na 83 points huwezi pata
Mtu kama tuusan hajatembea Kenya. Haamini kwamba Kenya kuna elimu nzuri. Anaijua UDSM pekee
 
Usiringanishe grade za form 4 ya kenya na form 6 ya Tanzania. Kiukweli mtu anaemaliza form 6 Tz anajua vitu vingi kuliko wa form 4 kenya na ndio maana Kozi ya miaka 3 Tz kenya ni miaka 4.

Grade ya mwisho kusoma Medicine bongo ni point 10 ambayo ni sawa na kupata DCC katika masomo ya PCB (Physics, chemistry na biology ). Kupata hizo points katika ACSEE sio jambo dogo kama unavofikiria


form 5 and 6 ni rahisi sana compared to form 4 ya Kenya ...................most kenyans who score grade C minus and D plus end up with distinctions in O levels
 
Usiringanishe grade za form 4 ya kenya na form 6 ya Tanzania. Kiukweli mtu anaemaliza form 6 Tz anajua vitu vingi kuliko wa form 4 kenya na ndio maana Kozi ya miaka 3 Tz kenya ni miaka 4.

Grade ya mwisho kusoma Medicine bongo ni point 10 ambayo ni sawa na kupata DCC katika masomo ya PCB (Physics, chemistry na biology ). Kupata hizo points katika ACSEE sio jambo dogo kama unavofikiria
But hvo hvo form 4 wa kenya akija bongo atakubaliwa chuo kikuu hta bila ya kupitia form5 na 6...jiulizeni tatizo n nn sasa hapo
 
huwa nasema kila siku kwamba kuna tofauti kubwa sana kati ya wakenya waliopo katika mitandao mengine kama twitter, fb, instagram na wakenya wachache wa hapa jamiiforum.

wakenya wachache wa hapa jf ni factless, blind patriots pia wapo too emotional katika arguments.

wakenya wa twitter, fb na instagram wapo real sana,kama ni white watasema ni white, hapendi ku beat around the bush.

lakini pia inapofika suala la kuzungumzia mazuri ya tanzania hawapo unbiased kama wakenya wachache wa hapa jamiiforum.

katika mtandao wa quora limeulizwa swali "why is tanzania's music industry successful than kenya's?.
mkenya mmoja amejibu vizuri sana. maelezo yake yame-base kwenye fact na si hisia.

najua wakenya wa jf wata catch feelings watakapo soma maelezo haya.

IMG_20181008_154009.jpeg
IMG_20181008_154440.jpeg
IMG_20181008_154757.jpeg
IMG_20181008_155445.jpeg
 
Back
Top Bottom