Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Answer the question before asking one..What is a gay?
Answer the question before asking one..What is a gay?
Duh!!masomo yote hayo...Masomo ya shule za msingi Tanzania. 1.Civics 2.science 3.vocational skills 4.personal studies 5.Geography 6.History 7.French 8.English 9.Kiswahili 10.Mathematics 11.Religion. 12.ICT
Oooo...yani km vile bongo moviee..part 1 na part 2..hahaaaa!!!Ngoja nifafanue kidogo Tanzania kuna shule za msingi aina mbili 1.Kuna zinazo fundisha masomo yote kwa kiswahili isipokuwa English kwenye hizi shule hamna somo la kifaransa na 2.zinazofundisha masomo yote kwa kiingereza tu isipokuwa kiswahili,Hizi French ilikuwepo tangu mwanzo .
Wacha kuni quote km hujaelewa mada weweDifferentiate "job and employment.."
Yeye kazungumzia "job"!! A jobless means.....
Hyo yote iko kw social studies...zamani ilikuwa ikiitwa G.H.C.Primary hamsomi Geography!? Hamsomi History!?
Nisiku-quote we nani??..ukiwa zuzu si tunakuchana tu hatufagilii mtu,tumegundua kenya kuna vilaza haswaa tofautisha kati ya job na employment! Sio unabwabwaja tu hapa!Wacha kuni quote km hujaelewa mada wewe
Heheee!!bro...mbna warukia mashaza matako wazi...utapasuka mk.... 😛 😛 😛Nisiku-quote we nani??..ukiwa zuzu si tunakuchana tu hatufagilii mtu,tumegundua kenya kuna vilaza haswaa tofautisha kati ya job na employment! Sio unabwabwaja tu hapa!
Hahahaha,mbona hamna shida wanafunzi wanatakiwa waelewe lugha yao ya taifa na lugha mbili kuu dunian english na french.Oooo...yani km vile bongo moviee..part 1 na part 2..hahaaaa!!!
Yani hao watoto wote wako nchi moja...hko ni kutojielewa walahi
Alafu nakwambia we huez nambia kitu...we kwangu km fyatu tu...kisha hamna kitu bro...alafu luki mwanangu,mi nakuchukulia doro tu...Nisiku-quote we nani??..ukiwa zuzu si tunakuchana tu hatufagilii mtu,tumegundua kenya kuna vilaza haswaa tofautisha kati ya job na employment! Sio unabwabwaja tu hapa!
hahaaaa wao watuonyeshe ya nairobi nchi yoyote hata hapa afrika..Dar es salaam avenue ndani ya germany,wazee wa kibera mkiona vitu kama hivi mnapata tabu sanaView attachment 888260
Alafu nakwambia we huez nambia kitu...we kwangu km fyatu tu...kisha hamna kitu bro...alafu luki mwanangu,mi nakuchukulia doro tu...[ku-rent,nyu
Una nini wewe,we fala tu..!umeji-expose unaishi maisha magumu kwenye nyumba ya ku-rent,unavaa kiboya boya..
Unavaa suti za mtumba,miaka hii???really??
Yes ukifika form 3 ilikua mnaanza kusoma vitabu na kuchambua hii kwa kisw na kingereza piaMnachambua vitabu vya fasihi pia?
Big up leo nipo upande wako...hii uchafu inayoitwa sheng ilinipa shida sana nilipokuwa Nairobi mwaka 2016,ni lugha mbaya inachanganywa changanywa yaani inatia kichefuchefu,unaweza kutapika ukisikia mkora wa Nairobi akizungumza!Ni lugha ambayo huzungumzwa na vijana wa Nairobi. Natumai itafifia hapa Kenya kwa sababu siipendi. Nakumbuka tukiwa shule ya msingi tulikuwa tunafunzwa kiswahili fasaha.Sasa hata nilisahau kiswahili maanake watu ninaotangamana nao wanaongea sheng' kwa hivyo sina budi kuongea hii lugha. Aghalabu mie huzungumza lugha ya mama.
Sheng ni broken Swahili .English, Swahili, vernacular words zinachanganywa. Ni lugha ya vijana mtaani. Nadhani unaifahamu isimu jamii
Sasa unataka kulinganisha huu uchafu wakufugia monkey huko us na Dar avenue Germany!!??seriouslySasa unaringa na vitu za Germany? Wabongolala kweli ni bongolala.
Anyway, the first photo is of City of Nairobi Park in Denver and the second photo is of city of Nairobi Park in Clayton US. There are so many places named after Kenyan things around the world but it's no big deal.
View attachment 888272
View attachment 888273
We acha2...bt huaga nikiwa sober hawawezi nikasirishNiliona jinsi walivyokuzungusha mpaka ukasalimu amri. Walipokwambia wewe ni mkaazi wa kibera ulikasirika sana jambo lililopelekea wewe kuwajulisha pahala ulipo. Ni kawaida yao kuwaambia wakenya waliomo kwamba ni kiberians. Nilicheka sana hiyo siku.
Aaaahh kwenda zako,unazungumzia kulipa??..Heheeee!!!suti si mambo yangu...wewe unaeza lipa nyumba 11k
Unajifunza namna ya kutunza vitabu cha fedha,cash book,legder za Mali, nkDuh!!book keeping ndo somo gani hilo tena
Vya kimombo tulisoma ,three suitors one husband(sikumbuki author ), black hermit(author Ngugi wa thion'go),passed like a shadow nkPia sisi. Vitatu vya kimombo na vitatu vya kiswahili